Vipimo vya malaria vilivyoidhinishwa na Wizara ya Afya ni hatari kwa uhai wa watanzania

kamwamu

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,488
3,263
Mara nyingi nikiwa najisikia kuumwa sana, hospitalini majibu ya vipimo vya malaria vimeonesha -ve. Lakini vipimo kwenye maabara binafsi huonesha +ve.

Miaka ya nyuma USA na Tanzania walianzisha mradi wa kutokomeza malaria. Vyandarua viligawiwa, upulizaji dawa maeneo ya mazalia mbu haukufanyika, kwa nini jibu mwenyewe. Wafadhili wanataka mrejesho.

Uamuzi wa serikali kutumia vipimo vya mra vilivyo rekebishwa ( calibrated) kutoa majibu ya -ve, ili tu kuonesha mradi ukifanikiwa ili kuendelea kuletewa pesa ni hatari kwa uhai wetu.

Watumiaji bima ya afya dawa huandikiwa kutokana na majibu ya vipimo. Ama kweli punda afe mzigo ufike.
 
Ilibaki kidogo nimpoteze mwanangu sababu ya hivyo vipimo vyao vya rapid. Ilikuwa kila nikifanya vipimo ikiwemo malaria mtoto anaonekana hana kitu ila kiafya anadhoofika na ana kila dalili za malaria.

Alikuja kunisanua dada mmoja pharmacist kuwa niende sehemu wanayotumia microscope kupima malaria, ile ya kuweka specimen kwenye ki glass. Na hapo mtoto akakutwa ana malaria ya kutosha na akapatiwa tiba.
 
Ilibaki kidogo nimpoteze mwanangu sababu ya hivyo vipimo vyao vya rapid. Ilikuwa kila nikifanya vipimo ikiwemo malaria mtoto anaonekana hana kitu ila kiafya anadhoofika na ana kila dalili za malaria.

Alikuja kunisanua dada mmoja pharmacist kuwa niende sehemu wanayotumia microscope kupima malaria, ile ya kuweka specimen kwenye ki glass. Na hapo mtoto akakutwa ana malaria ya kutosha na akapatiwa tiba.
Nyie ndo wateja wa private,wao wanafanya biashara..kila anaye pimwa lazima akutwe Positive.
 
Unaweza kujiuliza kama ulaya waliangamiza malaria ya Mbu sisi tunashindwaje?,Malaria ndio ugonjwa unaongoza kwa vifo na tunatumia billions of moneye kunua dawa na vifaa kwa ajili ya Malaria -sasa unajiuliza kwa nini fedha hizo tusizitumie kuua Malaria ya Mbu???
 
Unaweza kujiuliza kama ulaya waliangamiza malaria ya Mbu sisi tunashindwaje?,Malaria ndio ugonjwa unaongoza kwa vifo na tunatumia billions of moneye kunua dawa na vifaa kwa ajili ya Malaria -sasa unajiuliza kwa nini fedha hizo tusizitumie kuua Malaria ya Mbu???
Hao wanaopiga hizo hela watapata wapi hela???

Eti wanakwambia zile dawa zao ni hatarishi kwa mimea,mbonabhuko duniabya kwanza wametokomeza na mimea ipo fresh
 
Hivi vipimo vilisha lalamikiwa sana ila serikali imeziba masikio,kidogo nimpoteze kijana wangu kwa sababu yavipimo hivyo,mtoto alikuwa ana lalamika kila siku kichwa kinamuuma,nilipompeleka zahanati wakapima hakuonekana na ugonjwa,niliporudi nyumbani joto likawa juu na maumivu ya kichwa,nikampeleka hospital ya wilaya nako walitumia vipimo hivyo hivyo vya MRDT majibu yakatoka mtoto hana shida,ila maumivu ya kichwa alikuwa akiyahisi,niliamua kumpeleka private hospital,ikagundulika ana malaria,


Serikali ivipigge marufuku
 
Ni kweli kabisa vipimo vya hospital ya serikali havitoi majibu sahihi.Kama wiki mbili hivi nilipata taarifa watoto wawili wa dada yangu wanaumwa sana ila walipelekwa hospital za kishua wakaambiwa wanainfection kwenye damu na dawa wakapewa ila si za malaria.Baada ya kupewa dawa walizopewa nikapewa taarifa kuwa wanaumwa homa Kali,wanatapika,wanatetemeka sana na wanakosa hamu ya kula ikabidi nijiongeze Kwa kuwaambia muda huohuo wakanunue dawa za malaria waanze dose ilikuwa kama saa nne kasoro aisee Hadi kesho yake jioni watoto wazima na improvement Iko ya Hali ya juu.
 
Hivi vipimo vilisha lalamikiwa sana ila serikali imeziba masikio,kidogo nimpoteze kijana wangu kwa sababu yavipimo hivyo,mtoto alikuwa ana lalamika kila siku kichwa kinamuuma,nilipompeleka zahanati wakapima hakuonekana na ugonjwa,niliporudi nyumbani joto likawa juu na maumivu ya kichwa,nikampeleka hospital ya wilaya nako walitumia vipimo hivyo hivyo vya MRDT majibu yakatoka mtoto hana shida,ila maumivu ya kichwa alikuwa akiyahisi,niliamua kumpeleka private hospital,ikagundulika ana malaria,


Serikali ivipigge marufuku
Hizi ni tuhuma nzito sana mkuu, Usihukumu kabla hujafanya utafiti.
Tambua kuwa kipaumbele cha kwanza cha hospital za private ni kufanya biashara..ni nadra sana ukaenda kupima mkojo ukatoka bila kuambiwa kuwa una UTI..

Kipimo cha Malaria ni RDT(Rapid Diagnostic Test) ambayo ina sensitivity ya juu mnoo almost 99.9% katika kubaini.

MIicroscope hazitumiki zama hizi kubaini Malaria,kwanza ni gharama reagents zake na pia hutumia muda mrefu kwa mteja mmoja..iko very complicated hasa kwa mtaalamu ambaye hayupo competent.
Kipimo cha Microscope kimebaki tu kufanyia control,kwa mgonjwa ambaye tayari alishapimwa na MRDT akabainika na malaria na kuanza dawa.

Hivyo microscope hutumika pale daktari anataka ajiridhishe kama wadudu wanapungua kutokana na dose aliyo pewa mgonjwa.
 
Hizi ni tuhuma nzito sana mkuu, Usihukumu kabla hujafanya utafiti.
Tambua kuwa kipaumbele cha kwanza cha hospital za private ni kufanya biashara..ni nadra sana ukaenda kupima mkojo ukatoka bila kuambiwa kuwa una UTI..

Kipimo cha Malaria ni RDT(Rapid Diagnostic Test) ambayo ina sensitivity ya juu mnoo almost 99.9% katika kubaini.

MIicroscope hazitumiki zama hizi kubaini Malaria,kwanza ni gharama reagents zake na pia hutumia muda mrefu kwa mteja mmoja..iko very complicated hasa kwa mtaalamu ambaye hayupo competent.
Kipimo cha Microscope kimebaki tu kufanyia control,kwa mgonjwa ambaye tayari alishapimwa na MRDT akabainika na malaria na kuanza dawa.

Hivyo microscope hutumika pale daktari anataka ajiridhishe kama wadudu wanapungua kutokana na dose aliyo pewa mgonjwa.
Mkuu niko tayari mimi mwenyewe niambukizwe malaria nije nipimwr,ikiwaitasoma kwa MRDT basi kuna dau naweka,hivyo vipimo fakero tu,vinaua watoto wetu kwa kutoa majibu ya uongo,familia yangu haijawahi kubwinika na malaria kwa kutumia MRDT
 
Unaweza kujiuliza kama ulaya waliangamiza malaria ya Mbu sisi tunashindwaje?,Malaria ndio ugonjwa unaongoza kwa vifo na tunatumia billions of moneye kunua dawa na vifaa kwa ajili ya Malaria -sasa unajiuliza kwa nini fedha hizo tusizitumie kuua Malaria ya Mbu???
Ndio maana Shigongo alikuwa anasema tunatakiwa kujikinga na magonjwa na sio sifa kuongeza bajeti ya madawa tu.
 
Mara nyingi nikiwa najisikia kuumwa sana, hospitalini majibu ya vipimo vya malaria vimeonesha -ve. Lakini vipimo kwenye maabara binafsi huonesha +ve.

Pima malaria kwa hadubini...
 
Sio kila homa ni malaria, Malaria Rapid DiagnosticTest (MRDT) ubora wake sensitivity & specificity ni 99.9%. Sema nini wabongo wajisikia faraja sana wakikutwa na malaria.
MRDT inafanya kazi vizuriiiii tu sema pia watu wengi wanapenda saana malaria mbili mpaka 4 ukweli ni kwamba pia kwenye darubin Kuna changamoto zake mpaka upate mtu ambae ni every very competent kweny upimaji
 
Na vina Tabia ukishatanguliza kumeza dawa kama septrni au jamii ya dawa yenye sulfa vinasoma weak postiv au negative kabisa Bora vile vya SD sio hivi vya ABORT sivielewi kabisa
 
Back
Top Bottom