Unga, pesa zatumika kuombea kura ndani ya jimbo la Kibamba

Unga, pesa zatumika kuombea kura ndani ya jimbo la Kibamba

Ukawa msibishebishe tuuh kila kitu,Taifa linamuhitaji Mnyika Bungeni ila tatizo watu wa kibamba wanaona hajafanya mambo ya maana jimboni kwake 2010-2015

hivi alikua mbunge wa Kibamba?
 
majina kapuni, ila ni wakazi wa kata ya msigani na mbezi, kama huamini kaulize wananchi watakusaidia
 
hebu tutajie kwanza waliohongwa na Mnyiks tuanzie kwako.




wakazi wa kata ya msigani na mbezi, majina yao kapuni. kama huamini nenda kaulize uambiwe , utajifunza kuacha kushabikia
 
Ukawa msibishebishe tuuh kila kitu,Taifa linamuhitaji Mnyika Bungeni ila tatizo watu wa kibamba wanaona hajafanya mambo ya maana jimboni kwake 2010-2015
Kwani Mnyika aliwafanyia nini watu wa Kibamba hapo kabla ya 2010 kabla hajawa mbunge lakini bado wakamwamini na kumpa kura nyingi za Ubunge mwaka 2010?
 
nimezunguka kata zote za jimbo la kibamba nikianzia kata za jimbo la ubungo, na niliowauliza si wana ccm bali ni vijana tu wa kawaida wa mtaani hasa machinga na bodaboda. mnyika alitoa ahadi tamu na hakuna alichofanya tukianzia na maji kutatua shida zake ndani ya siku 100 kule kibamba, umeme kule kibamba. na kule kibamba ndo hawamtaki kabisa hata wakamfukuza kwenye uzinduzi wa shule iliyojengwa na wananchi baada ya kuwaahidi kuwasaidia na kuingia mitini hadi kipindi cha kuomba kura.
wewe hujui kazi ya mbunge. Mbunge hana budget. Anapeleka malalamiko kwa serikali ambayo ni ya ccm.
 
Mbona Mimi sijapata? Ila fenera anawapa wamama wa ccm tu, sisi wengine anaturuka, inashangaza unapigania kuhonga kura ambayo una uhakika nayo nakuwapuuza ambao hujui kama watakupa ni akili Ndogo sana.



fafanua kawahongaje , na sh ngapingapi na ni wa eneo gani
 
Ni kwel kbsa hata sie nyumban kwetu tumepata.. Nimestuka kura yang kwa magufuli mapema sana 25. 10
 
kevoo_keroo wacha urongo. mimi ni mkazi wa kibamba na mnyika hajawahi kuja kwangu na unga wala elfu kumi na tano isipokuwa wamekuja ccm kuanzia katibu mwenezi, mwenyekiti wa uwt na wa uvccm pamoja na wajumbe wa halmashauri ya mkoa wakigawa kofia na tisheti na sukari na kanga na madera. mimi niliwafungulia mbwa mara mbili na matokeo yake wamegonga uzio wangu wakati wakikimbia. usimsingizie mnyika kwani hana haja ya kuhonga kwa kuwa kura zote za wana kibamba ni zake.

Upo Kibamba ipi? Ndugu yenu kufikia hatua ya kugawa unga kwa kigezo cha kuomba kura ni aibu!!
 
Magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli magufuli
 
Back
Top Bottom