Unga, pesa zatumika kuombea kura ndani ya jimbo la Kibamba

Unga, pesa zatumika kuombea kura ndani ya jimbo la Kibamba

Hivi mbona mnatapatapa nyie magamba hofu yenu nn kama mnyika anashindwa sasa kinacho wauma kipi hapo? Mnaweweseka tu bute hadi mapovu yanawatoka.
 
Mnyika hana mpinzani jimbo la Kibamba na ushindi wake ni saa 4 asubuhi tu. Mimi ni mpiga kura jimbo la Kibamba sio hao magamba wanaoandika upuuzi kutoka ICT CENTRE Masaki.

Tiba
 
mafisiem mnamezea mate sana hilo jimbo la Ubungo.


hampati kitu hapo.


Mnyika anasubiria kuapishwa kuwakilisha Jimbo hilo kupitia UKAWA.

Hamna chenu hapo.
 
mnaoongea mnafahamu watu wa kibamba wanavyomuongelea mnyika au mnashabikia tu?
 
mafisiem mnamezea mate sana hilo jimbo la Ubungo.


hampati kitu hapo.


Mnyika anasubiria kuapishwa kuwakilisha Jimbo hilo kupitia UKAWA.

Hamna chenu hapo.

wewe hufahamu jimbo la kibamba vizuri
 
we mleta mada unababaisha,
hujui hiyo inatishia maisha,
mnyika hawezi zubaisha,
kazi yake ni Tz kuipaisha,
au lengo ni kutufurahisha,
tukiwa na akili kama we basi tumekwisha,
kwaherini ccm now hamna maisha.
 
Watu wa kibamba wanaweza kumchukia mnyika ila sio kuwapa kura ccm. Mnyika asiposhinda ubunge basi itakuwa kuna namna ila sio kwa ballot box.
 
nani kahongwa? wataje hapa
Kwa hiyo Kibamba kuna watu Wana shida ya Unga! Hadi wapewe Na Mnyika badala ya ofisi ya Maafa. Au Kibamba kuna njaa. Mwanzisha Uzi kawadhalilisha wananchi Wa Kibamba.
 
Mnyika mbunge wetu hakuna WA kumtoa hizo swaga za ccm huku mmeshindwa
 
Mnyika mbunge wetu hakuna WA kumtoa hizo swaga za ccm huku mmeshindwa



sasa inakuaje anaanza kuahidi pesa na kugawa unga nyakati za usiku? zunguka maeneo yote uuulize wananchi utafahamu wanamuongeleaje mnyika sio kubisha tu
 
Mbona Mimi sijapata? Ila fenera anawapa wamama wa ccm tu, sisi wengine anaturuka, inashangaza unapigania kuhonga kura ambayo una uhakika nayo nakuwapuuza ambao hujui kama watakupa ni akili Ndogo sana.
 
Inawezekana mgombea wenu wa magamba huyo kajaribu kuhonga unga kakataliwa , kwa hasira unakuja na hoja zaifu kama hii.
 
Back
Top Bottom