Kevoo_keroo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 771
- 163
Hiki ni kituko cha mwaka tena kutoka kwa mtu anayejionesha kuwa ni mwaminifu na mlalamikaji maarufu nchini, John Mnyika, mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la Kibamba.
Mnyika huwa anatumia nyakati za usiku kupita katika maeneo tofauti nyumba hadi nyumba kugawa unga wa kupikia kwa wananchi ili wampe kura za ubunge ndani ya jimbo la Kibamba, hiyo haitoshi amewaahidi kila mpiga kura shilingi elfu kumi na tano hadi shilingi elfu ishirini ili wampe kura yeye na mgombea urais wa CHADEMA.
Hiyo imekuwa rahisi kwake mnyika baada ya kuamua kupanga nyumba pale Mbezi karibia na shule ya sekondari ya Mbezi high school kwa ajili ya kufanya kampeni zake .
Mnyika huwa anatumia nyakati za usiku kupita katika maeneo tofauti nyumba hadi nyumba kugawa unga wa kupikia kwa wananchi ili wampe kura za ubunge ndani ya jimbo la Kibamba, hiyo haitoshi amewaahidi kila mpiga kura shilingi elfu kumi na tano hadi shilingi elfu ishirini ili wampe kura yeye na mgombea urais wa CHADEMA.
Hiyo imekuwa rahisi kwake mnyika baada ya kuamua kupanga nyumba pale Mbezi karibia na shule ya sekondari ya Mbezi high school kwa ajili ya kufanya kampeni zake .