Unga mkono hoja nakuaminia

Unga mkono hoja nakuaminia

Joined
Dec 4, 2017
Posts
15
Reaction score
12
Tunaomba serikali itekeleze mambo yafuatayo 2018

1.Mimba iwe miezi minne baada ya miez 9 maana wamechoka kubeba

2.vocha ziuzwe mia 4 na mia 9 ili tupate mia za kukwangulia

3.chumvi itolewe bure sukari iuzwe

4.nauli ya ndege kwenda south iwe bure manaake ni mteremko

5.sukuma wiki ichunguzwe kwann haiwezi sukuma mwezi

6.kuwepo na form za kwenda jela

7.Siku za mwizi walau ziwe 90 maana uchumi umebana

8.nakujaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom