Ahsante mkuu ngoja nijaribuNjia ya kwanza
Nenda setting
Tafuta sehemu ya apps/Applications
Baada ya hapo bonyenza, itakuletea Downloaded apps, Running apps and all,
Nenda hapo kwenye "all" kwa njia ya kuslide simu yako,
Alafu tafuta app ya google play store services, bonyenyeza, itakuletea FORCE STOP, clear data,
Sasa hapo anza kuclear data zote, baada ya kumaliza kuclear, Bonyeza FORCE STOP, kuna maneno itakuletea then click OK, baada ya apo Restat your phone.
Suluhisho lako litakuwa kwisha kabisa.
Ukirudi uje na mrejeshoAhsante mkuu ngoja nijaribu
Mkuu tatizo limejirudia tenaNjia ya kwanza
Nenda setting
Tafuta sehemu ya apps/Applications
Baada ya hapo bonyenza, itakuletea Downloaded apps, Running apps and all,
Nenda hapo kwenye "all" kwa njia ya kuslide simu yako,
Alafu tafuta app ya google play store services, bonyenyeza, itakuletea FORCE STOP, clear data,
Sasa hapo anza kuclear data zote, baada ya kumaliza kuclear, Bonyeza FORCE STOP, kuna maneno itakuletea then click OK, baada ya apo Restat your phone.
Suluhisho lako litakuwa kwisha kabisa.
Ila lilitoka kwa njia niliyo kuelekeza?Mkuu tatizo limejirudia tena
Mda mwingine haikupi nafasi ya kwenda setting koz inaomekana mfululizo.Njia ya kwanza
Nenda setting
Tafuta sehemu ya apps/Applications
Baada ya hapo bonyenza, itakuletea Downloaded apps, Running apps and all,
Nenda hapo kwenye "all" kwa njia ya kuslide simu yako,
Alafu tafuta app ya google play store services, bonyenyeza, itakuletea FORCE STOP, clear data,
Sasa hapo anza kuclear data zote, baada ya kumaliza kuclear, Bonyeza FORCE STOP, kuna maneno itakuletea then click OK, baada ya apo Restat your phone.
Suluhisho lako litakuwa kwisha kabisa.
Fanyia kazi hii ndio njia sahihi.Njia ya kwanza
Nenda setting
Tafuta sehemu ya apps/Applications
Baada ya hapo bonyenza, itakuletea Downloaded apps, Running apps and all,
Nenda hapo kwenye "all" kwa njia ya kuslide simu yako,
Alafu tafuta app ya google play store services, bonyenyeza, itakuletea FORCE STOP, clear data,
Sasa hapo anza kuclear data zote, baada ya kumaliza kuclear, Bonyeza FORCE STOP, kuna maneno itakuletea then click OK, baada ya apo Restat your phone.
Suluhisho lako litakuwa kwisha kabisa.
Mkuu shukran nimefanikiwaKama bado linajirudia, fb lite na whatsapp zifute hzo mbili then fuata zile process za hapo juu, au hapo kuna FORCE SROP, UNINSTALL updates pamoja na GO TO APP
Then clear data baada ya hapo Force stop, kuna mabeno itakuletea utabonyeza OK.
Baada ya hapo nenda kwenye menyu ya simu tafuta icon ya Google play store, bonyeza itakupeleka moja kwa moja kule ampako huwa tuana pakua apps, baada ya hapo bonyeza vishale vitatu upande wa kushoto hapo juu itafunguka pale, itakuletea maneno kadhaa tafuta sehemu palipo andikwa SETTING then bonyeza kuna maneno itakuletea hapo tafuta sehemu iliyo andikwa AUTO APDATES then bonyeza hapo pia itakuletea ICON tatu za kujaza kwa dot, hapo sasa weka hyo doti weka kwenye UPDATE OVER Wi-Fi only. Then ludi nyuma tafuta sehemu iliyo andikwa PARENTAL CONTROL pia nayo iweke OFF
Baada ya kumaliza zote hzo process anza sasa kudownlaod hzo apps either iwe whatsapp, fb lite na kuendelea, ukifuata hzo proces tatizo litaisha.