Unforgotten event katika love

Unforgotten event katika love

King snr

Umesoma Songea Boys au!!!!
 
Last edited by a moderator:
Dah sitakaa nisahau nilikuwa na kidemu changu to form three sasa kimemaliza shule kikaenda dsm bhana kimerudi kinajua kutumia fb na internet kwenye laptop nikimpigia usiku lol naambiwa nimechoka nicheki kesho.Siku moja nikaliamsha saa ngapi nisipigwe za uso nakumbuka niliambiwa Nikufanye Nin Urithike wew Mwanaume alafu she was Only 17 mim nilikuwa 18 Lahaula nikasema basi sawa nikakubali tunda lichukuliwe tu nikawaachie watoto wa DSM nikaendelea na kuzisaka mim mpk kesho sijapenda tena
 
Dah sitakaa nisahau nilikuwa na kidemu changu to form three sasa kimemaliza shule kikaenda dsm bhana kimerudi kinajua kutumia fb na internet kwenye laptop nikimpigia usiku lol naambiwa nimechoka nicheki kesho.Siku moja nikaliamsha saa ngapi nisipigwe za uso nakumbuka niliambiwa Nikufanye Nin Urithike wew Mwanaume alafu she was Only 17 mim nilikuwa 18 Lahaula nikasema basi sawa nikakubali tunda lichukuliwe tu nikawaachie watoto wa DSM nikaendelea na kuzisaka mim mpk kesho sijapenda tena

ha ha! kipind demu yupo dar wewe ulikuwa wapi?
 
Umeonaee!!!! enzi izo, hakukuwa na kuvalia suruali chini ya matako, mlikuwa mnapiga kitu shati la uji uji na suruali mchele mchele ndio mtoko hapo, loh!!!!!!! tumetoka mbali.
hahahaha shati la viscos na suruali ya Mr Dior ukipiga jeans itakuwa ni Savco, Lee au Live ...raba kali ni Edwin yenye kuwasha vitaa kwenye soli...mikito ya kijanja FUBU, FoX, Mike Jordan n.k ..... musicwise Shaba Rank, MC Hammer , Madonna, MJ wacko jaco, DDC m-park, Sikinde nk...old is gold
 
hahahaha shati la viscos na suruali ya Mr Dior ukipiga jeans itakuwa ni Savco, Lee au Live ...raba kali ni Edwin yenye kuwasha vitaa kwenye soli...mikito ya kijanja FUBU, FoX, Mike Jordan n.k ..... musicwise Shaba Rank, MC Hammer , Madonna, MJ wacko jaco, DDC m-park, Sikinde nk...old is gold

Bila Kusahau FILA (mguuni)
 
Mim nilikuwa zangu Chuga aisee ndo Home.

mademu ndo walivyo yani hawana huruma sijui wameumbwaje wapo ku-cheat tu wenzao sijui hata wanachojivunia
 
Dah sitakaa nisahau nilikuwa na kidemu changu to form three sasa kimemaliza shule kikaenda dsm bhana kimerudi kinajua kutumia fb na internet kwenye laptop nikimpigia usiku lol naambiwa nimechoka nicheki kesho.Siku moja nikaliamsha saa ngapi nisipigwe za uso nakumbuka niliambiwa Nikufanye Nin Urithike wew Mwanaume alafu she was Only 17 mim nilikuwa 18 Lahaula nikasema basi sawa nikakubali tunda lichukuliwe tu nikawaachie watoto wa DSM nikaendelea na kuzisaka mim mpk kesho sijapenda tena

Tukiwaambia wa mikoani washamba mnatokwa povu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom