King snr
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 1,165
- 1,474
Katika mapenzi kuna wakati mgumu sana huwa tunapitia hadi kumpata mwenye upendo wa dhati,sijui kama yamekukuta ila mimi yalinikuta haya.
Wakati nipo o-level Songea nilitokea kumpenda sana binti mmoja hivi wa kishua nikamtokea akawa ananizungusha tu hanipi jibu la kueleweka kama si upendo wangu basi ningeshampotezea ila ilinilazimu kuendelea kumfatilia, nilimfatilia karibia miezi 6 bila kukata tamaa,siku 1 mida ya saa 1 jioni nilikutana nae.
Cha ajabu alionyesha kutaka kuongea nami tofauti na kawaida akaanza kuongea kwa upole sana 'sorry king najua ni mda mref ulionyesha nia ya kutaka kuwa nami ila niliogopa coz sikujua tabia zako ila hata mimi nakupenda sana na siwezi kuishi bila wewe samahani King naomba usije ukanisaliti'.
Nilishtushwa sana na maneno yake nikajisikia faraja sana akaniambia kesho yake niende kwao kuna zawad kaniandalia,kufika kwao simkuti naambiwa kasafiri kaenda Dar na harudi tena wazazi wake wamehamishiwa huko kikazi,dah nilichoka sana nilijiuliza zawadi yenyewe ndo hii au?
Wadada kuweni na huruma
Wakati nipo o-level Songea nilitokea kumpenda sana binti mmoja hivi wa kishua nikamtokea akawa ananizungusha tu hanipi jibu la kueleweka kama si upendo wangu basi ningeshampotezea ila ilinilazimu kuendelea kumfatilia, nilimfatilia karibia miezi 6 bila kukata tamaa,siku 1 mida ya saa 1 jioni nilikutana nae.
Cha ajabu alionyesha kutaka kuongea nami tofauti na kawaida akaanza kuongea kwa upole sana 'sorry king najua ni mda mref ulionyesha nia ya kutaka kuwa nami ila niliogopa coz sikujua tabia zako ila hata mimi nakupenda sana na siwezi kuishi bila wewe samahani King naomba usije ukanisaliti'.
Nilishtushwa sana na maneno yake nikajisikia faraja sana akaniambia kesho yake niende kwao kuna zawad kaniandalia,kufika kwao simkuti naambiwa kasafiri kaenda Dar na harudi tena wazazi wake wamehamishiwa huko kikazi,dah nilichoka sana nilijiuliza zawadi yenyewe ndo hii au?
Wadada kuweni na huruma