TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,810
Hakuna haja ya Mimi Kuongea Mengi, Hilary Clinton pamoja na Rais Obama au Kwa Maslahi ya Taifa au kwa Visa vyao Binafsi walkmfanyia Putin Unyama mwaka 2011 Kiasi cha Kumtoa Machozi Literally!
Alipopata Nafasi 2016 akawafanyizia, hasa akamfanyizia Hilary Hujuma mara 10x ya alivyomfanyia 2011. Mimi Kisiasa ndio Falsafa yangu Ukinihujumu nakuhujumu mara 10x zaidi. Na hutakaa ujue au Uthibitishe nimekuliza mimi. Utabaki kulia tu!
Alipopata Nafasi 2016 akawafanyizia, hasa akamfanyizia Hilary Hujuma mara 10x ya alivyomfanyia 2011. Mimi Kisiasa ndio Falsafa yangu Ukinihujumu nakuhujumu mara 10x zaidi. Na hutakaa ujue au Uthibitishe nimekuliza mimi. Utabaki kulia tu!