Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 256
I usually ask my self at what time these photographers take such pictures some times it might be a difficult and tough job
Mkuu, think even the camera technology that might have been used . Don't think of yashika you used to. But they are courageous pia.
Sante Miss Judy
Kwa kweli hii dunia sisi bado hatuijui
vizuri bali alie iumba ndie anaye tuonyesha
nguvu zake....
na kuna maajabu mengi tu
ambayo bado hatujayaona...
kweli Mungu ni wa ku ogopwa...
when????????
kuna mtu ameuliza hilo tukio limetokea lini? pia hiyo eruption haikuambatana na tsunami? maana tsunami nyingi huanza kwa style hiyo.
What a spectacular view !!!!! Tutaona mambo mengi kweli ktk era hii tunayoishi; sijui ndio tuseme dunia iko kwenye ukingo wa mwisho kabisa kabla ya kutoweka
wanalipwa vizuri sana hao professional photographers... 🙂
Maajabu ya Mungu!<br />
One amonge the worst natural disaster<br />
Siku yasije tokea lake nyasa na tanganyika maana ni lift valley lakes maana vina vyake visije vikawa ndo nafuu ya hayo volcanic ashes kutoka!