Underground vs Wakongwe wa JF

πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ˜Ž
Kila nikianzisha uzi lazima unifuatefuate utafikimiri nimekuibia nguo yako ya ndani....

Deile ooooh "ukitaka kuwaona nzi weka mavi" mbona hujawahi kusema "ukitaka kuwaona nyuki weka maua"
Endelea tu kick haziuzwi ni BURE
 
Kila nikianzisha uzi lazima unifuatefuate utafikimiri nimekuibia nguo yako ya ndani....

Deile ooooh "ukitaka kuwaona nzi weka mavi" mbona hujawahi kusema "ukitaka kuwaona nyuki weka maua"
Endelea tu kick haziuzwi ni BURE
 
Mimi wananihusu ?
An umetumwa kuja kuwapamba ?
Sina shida ya kuwajua
Jamaa uko na inferiority complex ya kufa mtu, nafikiri kitaa unaishi vile ulivyo unaonekana HATER

Mtu HAI kuwa senior au Kapuku(kama ujitambulishavyo) sio big deal
 
Jamaa uko na inferiority complex ya kufa mtu, nafikiri kitaa unaishi vile ulivyo unaonekana HATER

Mtu HAI kuwa senior au Kapuku(kama ujitambulishavyo) sio big deal
Endelea kufikiri unavgofikiri tena nina elimu ya darasa la nne na Nina umri wa miaka 17 na kazi yangu ni kuvuta bangi Mabibo Beach lkn HAYAKUHUSU

....kauze mapapai uwe tajiri kumzidi Bakhresa
Hata utukane sikupi kick
 

Km huna swaga kauze mapapai kwa bidii uwe tajiri kuliko kutafuta kick kwa kuanzisha malumbano
 
Kila nikianzisha uzi lazima unifuatefuate utafikimiri nimekuibia nguo yako ya ndani....

Deile ooooh "ukitaka kuwaona nzi weka mavi" mbona hujawahi kusema "ukitaka kuwaona nyuki weka maua"
Endelea tu kick haziuzwi ni BURE
Dah... Dogo siyo nakufuatafuata bana... nakulinda hadi upite foolish age ili uje kuwa mwanaume ... ni wajibu wanguπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Dah... Dogo siyo nakufuatafuata bana... nakulinda hadi upite foolish age ili uje kuwa mwanaume ... ni wajibu wanguπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
Una miaka 100?
U are a mbumbumbu
Mpuuzi tu ww km lodilofa
Unatafuta kick tu......endelea 7bu sina muda wa kushindana na wapuuzi
Nakushauri kaendeleze kilimo cha vitunguu au km huwezi nenda chooni kajisaidie utoe nuksi ya kuwa kimbelembele
Sina muda na wewe

Mbumbumbu u can say anything....I'll Ignore you !!!!!!!!!
 
Dah... Ndiyo foolish age yenyewe hii.... tutakuvumilia tu hivyohivyo huku tukikuongoza... hadi ukue... ndiyo wajibu wetuπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Dah... Ndiyo foolish age yenyewe hii.... tutakuvumilia tu hivyohivyo huku tukikuongoza... hadi ukue... ndiyo wajibu wetuπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
Sijawahi kuona ukikomenti chochote cha maana zaidi ya kuandika "ukitaka kujaza nzi weka mavi " ndo uelewa wako umeishia hapo inaonekana ulizaliwa chooni na unapenda sana kunyakunya ndio maana unayawaza mavi tu na ndio sababu huyo kunguru kaiba suruali yako yenye mavi wkt ukinya choo cha paeipoti size
 
Dah.... Angalau point muhimu umeipata sasa..utaelewa tu..mdogomdogo...ndiyo wajibu wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…