Mkuu laiti ningejua mwalimu wako aliyekufundisha ningeomba walau anipe Tuition kidogo kuhusu Analysis.Umetisha kwa analyisis yako.
Niongeze jambo moja tu ili nisiharibu uhondo wa mada yako.Kuhusu Ben Saanane nafarijika sana kumuona jinsi alivyo mkomavu.Nimekuwa nikifuatilia Post nyingi za Ben hakika ni mtu mwenye heshima ya hali ya juu kwa viongozi wote wa CDM.Na pia ninapenda sana pale anapotetea CDM kama Taasisi na siyo makundi ya ufuasi.Ninapenda sana viongozi kukosolewa lakini siyo kumkosoa kiongozi wako kwa matusi ya nguoni kama muhuni.Kama Ben ni matunda ya Mnyika na Heche basi nawapa hongera sana na naunga mkono mada hii 100%.
I am suspicious of your motive in starting this thread.
Mkuu laiti ningejua mwalimu wako aliyekufundisha ningeomba walau anipe Tuition kidogo kuhusu Analysis.Umetisha kwa analyisis yako.
Niongeze jambo moja tu ili nisiharibu uhondo wa mada yako.Kuhusu Ben Saanane nafarijika sana kumuona jinsi alivyo mkomavu.Nimekuwa nikifuatilia Post nyingi za Ben hakika ni mtu mwenye heshima ya hali ya juu kwa viongozi wote wa CDM.Na pia ninapenda sana pale anapotetea CDM kama Taasisi na siyo makundi ya ufuasi.Ninapenda sana viongozi kukosolewa lakini siyo kumkosoa kiongozi wako kwa matusi ya nguoni kama muhuni.Kama Ben ni matunda ya Mnyika na Heche basi nawapa hongera sana na naunga mkono mada hii 100%.
Mkuu hapo kwenye BENARD SAANANE nakuunga mkono kwa asilimia 1000000000%, huyu jamaa ni hatari kwa hoja na mara nyingi huko nyuma nilikuwa bado sijamsoma vizuri, Kwa kweli naamini kwamba mpaka kufika 2015 CHADEMA itakuwa na majembe haswaaaa, pia siku hizi naona kama nyota inazidi kung'ara kama jua....... Lakini bado kuna vijana vichwa maji wanaotaka kumchafua lakin naamin dogo hawatamuweza kuanzia elimu, ujengaji wa hoja.
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA.
Mkuu laiti ningejua mwalimu wako aliyekufundisha ningeomba walau anipe Tuition kidogo kuhusu Analysis.Umetisha kwa analyisis yako.
Niongeze jambo moja tu ili nisiharibu uhondo wa mada yako.Kuhusu Ben Saanane nafarijika sana kumuona jinsi alivyo mkomavu.Nimekuwa nikifuatilia Post nyingi za Ben hakika ni mtu mwenye heshima ya hali ya juu kwa viongozi wote wa CDM.Na pia ninapenda sana pale anapotetea CDM kama Taasisi na siyo makundi ya ufuasi.Ninapenda sana viongozi kukosolewa lakini siyo kumkosoa kiongozi wako kwa matusi ya nguoni kama muhuni.Kama Ben ni matunda ya Mnyika na Heche basi nawapa hongera sana na naunga mkono mada hii 100%.
nimekuwa nikimsoma ben saanane
huyu jamaa ni hazina na ni mzuri sana kwa kukitetea chama kwa ujumla
kwa sasa ben yupo kwenye uelekeo sahihi sana
MNYIKA NA HECHE kila mama duniani anatamani hawa wangekuwa watoto wake wa kuwazaa
Namtabiria Mnyika kuwa ndiye rais wa kwanza kutokea upinzani kuikalia IKULU
Kama ni hazina mbona mlimpiga chini bavicha? Halafu vipi mnyika ataikalia ikulu? Weka maneno sawa sawa bana,watu wataelewa vinginenimekuwa nikimsoma ben saanane
huyu jamaa ni hazina na ni mzuri sana kwa kukitetea chama kwa ujumla
kwa sasa ben yupo kwenye uelekeo sahihi sana
MNYIKA NA HECHE kila mama duniani anatamani hawa wangekuwa watoto wake wa kuwazaa
Namtabiria Mnyika kuwa ndiye rais wa kwanza kutokea upinzani kuikalia IKULU
Hakika nikiwaondoa hawa walotajwa hapo juu, ktk vijana wa Chadema wanaonitia moyo na wanaoandika vitu vya maana hapa JF ni Ben Saanane, huyu ananipa hamu, nguvu na matumaini makubwa juu ya vijana wetu.
Hakika nikiwaondoa hawa walotajwa hapo juu, ktk vijana wa Chadema wanaonitia moyo na wanaoandika vitu vya maana hapa JF ni Ben Saanane, huyu ananipa hamu, nguvu na matumaini makubwa juu ya vijana wetu.
Kama ni hazina mbona mlimpiga chini bavicha? Halafu vipi mnyika ataikalia ikulu? Weka maneno sawa sawa bana,watu wataelewa vingine