Ndo hivyo inakuwaga kumbe na wewe umewasoma wadau😂😂😂comment tatu za mwanzo ndizo zinaamua hatima ya uzi wakikusagia kunguni ujue msago utaendelea mpaka hatma ya uzi😃😃...Post za jf bana zinaenda na upepo
Yaani kama umepost alafu mtu wa kwanza kakupinga basi ndo mwendelezo
Inshort jamaa wamemkataa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ukiona ivyo ujue ushaanza kuwa Mzee. Apo inabidi utoke Instagram. Wanaume wengi hawapo kwy mitandao ya kijinga jinga. Wewe unakuta dume zima lipo Snap chartNashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?
Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.
Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?
Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.
Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.
Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.
Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?
Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.
Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Mbona makasiriko jomba?Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?
Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.
Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?
Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.
Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.
Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.
Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?
Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.
Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Pamoja na uhuru mkuu kinachoniudhi mie! nakaribia kufa !yale mamijina bana weeeee!!...... hee naona km huna raha si raha ivi!! kifo si kifo vile ivi jina km Mariooo!.......aya! yayayayayay hallow!!........unatamani ufe kabisa!!Mkuu, anko Shamte ni mtanzania yupo huru kufanya anachojisikia isiwe tu kinavunja sheria na taratibu za nchi, na kikubwa zaidi kamuoa ndoa halali kabisa kabisa huyu bi mkubwa, ninachoona hapa unaingilia binafsi ya mtu ambayo ni haki yake
Nimeipenda sana hii comment!Dah mkuuu kila mtu anaish anavyopenda yeye inawezekana hata unayofanya wewe watu hawayapendi n vile tu wewe siyo maarufu Kama mzee shamte
Kama anakwaza au amevuka mipaka basi tcra wapo watamdhibiti ukiona kimya jua hajavunja sheria
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Comment ya mtu mwenye uzoefu wa maisha.Sikujui ila nauhakika unafurahia maishaDah mkuuu kila mtu anaish anavyopenda yeye inawezekana hata unayofanya wewe watu hawayapendi n vile tu wewe siyo maarufu Kama mzee shamte
Kama anakwaza au amevuka mipaka basi tcra wapo watamdhibiti ukiona kimya jua hajavunja sheria
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Msingi kiuno.Sasa anko shamte anaweza kubeba zege kweli?maana hana cha elimu yoyote..
Umeandika kwa uchungu sana!Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?
Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.
Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?
Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.
Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.
Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.
Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?
Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.
Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
NDEGE WANAO FANANA HURUKA PAMOJA,Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?
Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.
Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?
Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.
Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.
Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.
Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?
Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.
Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.
Sasa jitu la hovyo kama hilo unadhani lina historia gani ya maana mkuu?Nashindwa kuelewa huyu mume wa mama wa mwanamuziki Diamond ana akili gani?
Kila anachokifanya na mke wake anakipost Instagram, anapiga picha na mama yake Diamond za aibu.Mfano kwenye profile ya Insta kaweka picha anambashia mama Dangote.
Hivi anajielewa huyu? Haoni kama anamdhalilisha Diamond?
Kwenye page ya Insta anapost familia ya Diamond ,watoto wake na Diamond mwenyewe.
Amekuwa chawa mkubwa wa Diamond na familia yake.
Ameshindwa kusimama kama baba, maisha yake ni mtelezo tu kutoka kwa huyo mama anayeonekana mkubwa kupita yeye.
Anapata wapi muda wa kufanya kazi au ndo kafata pesa kwa huyo mama?
Anayemjua anipe wasifu na historia yake kwa ujumla.
Aache ulimbukeni si kila kitu katika ndoa yao apost mtandaoni.