Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Rais mstaafu wa awamu ya tatu mheshimiwa Ben Mkapa ameonesha nia ya kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tz kwa mara nyingine.Rais mstaafu huyo anakubali kwamba kuna makosa aliyafanya enzi akiwa madarakani kama Rais.Mkapa anatamani kurudi tena madarakani huku akiwa na nia ya dhati ya kusahihisha yale makosa aliyoyafanya enzi akiwa madarakani.Tamko la mkapa linakuja katika kipindi ambacho C.C.M wanakuna vipara vyao kuhusu mgombea watakaemsimamisha kugombea nafasi ya urais mwaka 2015.Source:Gazeti la Tanzania Daima.