Uncle ameozwa kwa mdada wa kazi: Anataka nimshauri

Uncle wako anaomba ushauri kwako!!

Hi ni katika moja ya ajabu za dunia.
 
:eyebrows: da ni noma ila cha kufanya anko ni bora tu aridhie kuishi na huyo bek 3, na inabidi aongee na wazazi wake kuhusu hii ishu,
 
Ndugu WanaJF

Uncle amekuwa anatafuna mdada wa kazi kwa jirani, mara wenye nyumba wanapokuwa hawapo huku mdada mwingine wa kazi akishuhudia vitendo vile. Kweli za mwizi ni 39, ya 40 sasa imewadia. Wenye nyumba wakasafiri kwa muda wa wiki moja, uncle akaendeleza kamchezo kake bila kuhofia mdada mwingine wa kazi. Kipindi hiki, akaamua kumtafunia mdada wa watu nyumbani anakofanya kazi. Kibaya, akawa anamtafunia kitandani kwa watoto wao wa kike, ambao wamesafiri nao.

Wenye nyumba waliporudi, yule mdada mwingine akaamua kusema yote kwa wazazi. Wazazi wakawaita baadhi ya wazee na majirani. Wakamuita na uncle pia. Uncle na yule mdada wa kazi wakawekwa kiti moto kweli kweli. Uncle na mdada ikabidi wakiri kuwa wamekuwa wakitafunana kwenye chumba wa watoto na wakati mwingine sebureni.

Wazee, majirani na wazazi wakaamua uncle amuoe yule mdada wa kazi, na mdada wa kazi akiridhia chapchap! Uncle hakuwa na ujanja, akaandikishwa barua ya makubaliano akatia sahihi na yule mdada akasaini pia, na mashahidi wote. Mdada wa kazi akapaki mizigo yake na kuongozana na uncle hadi nyumbani kwa uncle. Uncle anasoma chuo kikuu na bado anaishi na wazazi wake. Bahati, wazazi wa uncle wamesafiri ila wanarudi wiki ijayo. Uncle amemuoa yule mdada hii ni siku ya tano!

Wazazi wameishaambiwa juu ya mkasa huu, ila wako kimyaaaa. Uncle amechanganyikiwa...sana sana! Sasa anaomba nimpatie ushauri, ebu nipeni mawazo ili nimsaidie uncle...........

Mwambie uncle kwenye lile boom lake apange room moja andelee kuishi na mke wake.Mbona chuo kikuu wadada wanaolewa na wanaendela na masomo yao bila shida?Pia wakaka wanaweza kuoa na wakendelea na masomo yao kama kawaida...Mpe pole pia kwa kuingia mtego kwa KCC...
 
Wamemkomesha, na bado mziki ndio unaanza. Subutu yake amfukuze! Sizitaki mbichi hizi? Wakati anazirukia hakuziona mbichi. Adabu hana wala heshima. Ghrrrrrrrr!

Sijui wazazi wa huyo mdada wako wapi hadi binti yao aonewe hivyo???
Aisee mimi wangenikoma.........this is more than unyanyasaji, kisa alikuwa house girl ndo amfukuze??
House girl ni kazi tuu ati!!!i
 
Anapanga kuwatumia wazazi wake wamkatae huyo mdada kisha atumie kigezo hicho kumtimulia mbali........

Hivi, akifanya hivyo ni uungwana kweli? Mdada wa watu anaweza kuwa tayari ana mimba au ukimwi au vyote viwili. Lakini pia, kamsababishia kupoteza kazi yake na anaweza kumpelekea kurudi kijijini........akiwa tayari ameharibikiwa!!!!


Sheria inasemaje kwa mtu kama uncle? Mimi kama mdada kitendo hichi kinaniuma japo ni uncle!


Mwambie uncle wako asilete ubabe, wakacheki hivo vipimo then wafanye peaceful negotiation kati ya familia yenu na ya binti( kama hataki kumuoa huyo mdada)!!!
La sivo itakula kwake.....!!!
 
ankoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo, mwaka mpya na mambo mapya
nacheka tu
 
Ndugu WanaJF

Uncle amekuwa anatafuna mdada wa kazi kwa jirani, mara wenye nyumba wanapokuwa hawapo huku mdada mwingine wa kazi akishuhudia vitendo vile. Kweli za mwizi ni 39, ya 40 sasa imewadia. Wenye nyumba wakasafiri kwa muda wa wiki moja, uncle akaendeleza kamchezo kake bila kuhofia mdada mwingine wa kazi. Kipindi hiki, akaamua kumtafunia mdada wa watu nyumbani anakofanya kazi. Kibaya, akawa anamtafunia kitandani kwa watoto wao wa kike, ambao wamesafiri nao.

Wenye nyumba waliporudi, yule mdada mwingine akaamua kusema yote kwa wazazi. Wazazi wakawaita baadhi ya wazee na majirani. Wakamuita na uncle pia. Uncle na yule mdada wa kazi wakawekwa kiti moto kweli kweli. Uncle na mdada ikabidi wakiri kuwa wamekuwa wakitafunana kwenye chumba wa watoto na wakati mwingine sebureni.

Wazee, majirani na wazazi wakaamua uncle amuoe yule mdada wa kazi, na mdada wa kazi akiridhia chapchap! Uncle hakuwa na ujanja, akaandikishwa barua ya makubaliano akatia sahihi na yule mdada akasaini pia, na mashahidi wote. Mdada wa kazi akapaki mizigo yake na kuongozana na uncle hadi nyumbani kwa uncle. Uncle anasoma chuo kikuu na bado anaishi na wazazi wake. Bahati, wazazi wa uncle wamesafiri ila wanarudi wiki ijayo. Uncle amemuoa yule mdada hii ni siku ya tano!

Wazazi wameishaambiwa juu ya mkasa huu, ila wako kimyaaaa. Uncle amechanganyikiwa...sana sana! Sasa anaomba nimpatie ushauri, ebu nipeni mawazo ili nimsaidie uncle...........

Naye Uncle wako vp? Mi nilifikiri wamemkamata akiwa yuko juu ya kiuno cha Housegirl! Angekataa bwana! watu tunatia mpaka mimba na tunakataa itakuwa yeye! Labda anamtaka huyo demu, AMTIMUE tu, nduguze wakiuliza aseme amempa talaka.
 
Naye Uncle wako vp? Mi nilifikiri wamemkamata akiwa yuko juu ya kiuno cha Housegirl! Angekataa bwana! watu tunatia mpaka mimba na tunakataa itakuwa yeye! Labda anamtaka huyo demu, AMTIMUE tu, nduguze wakiuliza aseme amempa talaka.

Sifa nyingine ni za kijinga kweli.
 
Sifa nyingine ni za kijinga kweli.
Ukweli unabaki palepale, unapofanya mapenzi na mtu siyo kwamba mnataka kuoana, kukubali kwake kutaharibu future yao wote wawili ni bora AMTIMUE
 
Huo ndio mshahara zambi, alikuwa anataka wenzie wamuhudumie yeye ale tu bila jasho. Shida yake si ilikuwa uroda na sasa anaupata 24/7 tabu ipo wapi? Namshauri aandae mpango wa uzazi wa mpango na huyo mke wa promotion aliyempata.
 
Ndugu WanaJF

Uncle amekuwa anatafuna mdada wa kazi kwa jirani, mara wenye nyumba wanapokuwa hawapo huku mdada mwingine wa kazi akishuhudia vitendo vile. Kweli za mwizi ni 39, ya 40 sasa imewadia. Wenye nyumba wakasafiri kwa muda wa wiki moja, uncle akaendeleza kamchezo kake bila kuhofia mdada mwingine wa kazi. Kipindi hiki, akaamua kumtafunia mdada wa watu nyumbani anakofanya kazi. Kibaya, akawa anamtafunia kitandani kwa watoto wao wa kike, ambao wamesafiri nao.

Wenye nyumba waliporudi, yule mdada mwingine akaamua kusema yote kwa wazazi. Wazazi wakawaita baadhi ya wazee na majirani. Wakamuita na uncle pia. Uncle na yule mdada wa kazi wakawekwa kiti moto kweli kweli. Uncle na mdada ikabidi wakiri kuwa wamekuwa wakitafunana kwenye chumba wa watoto na wakati mwingine sebureni.

Wazee, majirani na wazazi wakaamua uncle amuoe yule mdada wa kazi, na mdada wa kazi akiridhia chapchap! Uncle hakuwa na ujanja, akaandikishwa barua ya makubaliano akatia sahihi na yule mdada akasaini pia, na mashahidi wote. Mdada wa kazi akapaki mizigo yake na kuongozana na uncle hadi nyumbani kwa uncle. Uncle anasoma chuo kikuu na bado anaishi na wazazi wake. Bahati, wazazi wa uncle wamesafiri ila wanarudi wiki ijayo. Uncle amemuoa yule mdada hii ni siku ya tano!

Wazazi wameishaambiwa juu ya mkasa huu, ila wako kimyaaaa. Uncle amechanganyikiwa...sana sana! Sasa anaomba nimpatie ushauri, ebu nipeni mawazo ili nimsaidie uncle...........

Ana bahat kweli, wenzake huchukuwa miaka hadi ndowa kukamilika. Kwake jambo la wiki tu. Muhongere!
 
Lol! Kapatikanaje?! What was he thinking?!! :thinking: Wacha avune alichopanda maana alijiona kidume wa kujiachia bila kujali uwepo wa mdada mwingine wa kazi ndani ya nyumba hio!!
 
Mwambie anko wangu I'm very sorry huwa nawasaidia wengi kwenye mambo ya ushauri lakini katika hili na ameshatia saini mkataba basi tena "they will live happilly ever after"
 
Ndoa ina taratibu zake, kama ni Mwislamu kuna (1) Mahari (2) Ruhusa ya Mzazi/Mlezi (3) Kukubali kwa Muolewaji. hivyo ni vigezo vya msingi!. Sasa Je Wazazi wa huyo binti waliombwa Ridhaa na muoaji?, je walikubali baada ya kuombwa?, Je Muolewaji aliomba Mahari gani?, Je Muoaji aliitoa hiyo mahari?.

KAMA HII NDOA IMELAZIMISHWA NA JAMAA HAJARIDHIKA NAYE BINTI, BASI JAMAA AKAFUNGUE KESI MAHAKAMANI KUIPINGA!

YAANI KATIKA VITU AMBAVYO HUWEZI KUVILAZIMISHA NI NDOA!! KWA SABABU KAMA UPENDO HAUTAKUJA, IT WILL NEVER WORK!!
 
Naye Uncle wako vp? Mi nilifikiri wamemkamata akiwa yuko juu ya kiuno cha Housegirl! Angekataa bwana! watu tunatia mpaka mimba na tunakataa itakuwa yeye! Labda anamtaka huyo demu, AMTIMUE tu, nduguze wakiuliza aseme amempa talaka.

Watu wengine huwa mnatumia mikia yenu kufikiri, pumbafu na nusu
 
Ukweli unabaki palepale, unapofanya mapenzi na mtu siyo kwamba mnataka kuoana, kukubali kwake kutaharibu future yao wote wawili ni bora AMTIMUE
Kama huna mpango nae unampa mimba ili iweje? Alafu huoni aibu kutamba kwamba mnakimbia. . . kweli WANAUME wanahesabika kwenye jamii yetu na wewe sio mmoja wao.
 
Back
Top Bottom