Nakumbuka nilimtembelea ndugu yangu fulani, Tumekaa sebuleni mtoto kaenda kuleta TV kutoka chumbani kwa wazazi ( kumbuka vile vimeza vya matairi). Kumbe kwenye deki kuna mkanda bwana dogo si ka PLAY kujua ni mkanda gani aurudishe kwenye kasha lake
Nmecheka saaanaa dah we baharia ww!!!mimi nakumbuka tuko wanne sebuleni mimi,sister mkubwa,bro mwenye mkanda na dada mwingine mgeni wanasukana.ghafla chanel zikakata ilikuwa ni zile za cable ya kulipia,kwahiyo inabidi tuweke mkanda.
mimi ndio engeneer nikanyanyuka na kushika caseti moja lilikuwa juu ya deki,kwanza lilikuwa limejaa kinoma mpaka halimalizi kitairi upande mmoja,kumbe limeungwa mara mbili.
nataka kuweka bro karudi,oya dogo hilo casete bovu achana nalo,mimi nakataa acha tujue ni casete la picha gani,nataka kuweka akanimind na kunipora nikashangaa sana,baada ya miezi kadhaa nalikuta kwenye tranka lake nikachukua na kwenda kulitest,aisee.nikabidi nifunge milango kwanza ili nijilipue bila wasi wasi.hii ni maiaka 17 iliyopita jaman.