The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,425
Tanzania, kama nchi nyingine duniani, ina viongozi. Yafuatayo ni majina ya baadhi ya viongozi ambao, kama utaombwa kuyaelezea au kuwaelezea unavyowakumbuka, wapenda, wachukia, ubora, uhovyo, nk, utawaelezeaje?
- Julius Kambarage Nyerere,
- Abeid Aman Karume,
- Ali Hassan Mwinyi,
- Benjamin Mkapa,
- Jakaya Kikwete,
- John Magufuli na,
- Samia Suluhu Hassan.