johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,891
Kuna wakati nikilitazama bunge na matukio yake huwa nashindwa kulitofautisha na kundi lolote la kipagani.
Tena huwa najiuliza kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani? Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzi kati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda.
Tundu Lisu kafukuzwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma. Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele.
Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema "yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.
Ndipo sasa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?
Maendeleo hayana vyama!
Tena huwa najiuliza kuna aliyeapa kwa kushika Biblia mle ndani? Hebu fikiria wabunge watatu wamekufa kwa mfululizo juzi kati tu lakini wabunge hawana huzuni yoyote hata kuzika hawakwenda.
Tundu Lisu kafukuzwa baada ya kutunguliwa marisasi akiwa bungeni Dodoma. Mbunge mmoja alitaka mkwewe ambaye ni mbunge pia auwawe wabunge wakashangilia kwa vigelegele.
Mbowe kavamiwa na majambazi wabunge wenzie wanasema "yule ni mlevi kaanguka" kana kwamba mlevi siyo binadamu.
Ndipo sasa najiuliza katika bunge la Dodoma lenye wabunge zaidi ya 300 hakuna mbunge mkristo hata mmoja tu?
Maendeleo hayana vyama!