Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 969
- 3,065
Hasara au Kupoteza.
Mapenzi ni Biashara, sasa inatakiwa uwe makini unawekeza wapi.
Maana Hawa Ndugu Zetu wapo After money, ukimsemesha tu anataka Pesa, Sasa kwenye hiyo pesa unayotoa kumpa Jua hiyo ni Kamali, unaweza ukaliwa na usione ndani.
Ukiona mwanamke anakusifia unaejielewa Jua unaliwa Fedha au unatumika Vizuri katika kutatua matatizo yake ya Kiuchumi. Mwanamke akiona hauendi kama anavyotaka yeye kukutumia kwa Faida zake atakuita majina Megi, mara Bahiri ujielewi na Mengine mengi.
Pia Kuna kitu cha Kutazama Kwenye pesa ambazo tunawekeza katika mapenzi, unaweza Sema ni pesa ndogo. Katika Maisha hakuna pesa ndogo.
Kama kazini au Kwenye Biashara wote mnafanya kazi Moja au shughuri Moja na Kipato ni sawa au kakuzidi ukimtongoza tu umejipa mzigo wa Kiuchumi, na mzigo huo unaojipa Kuna kua na Kamali ndani yake, upate au ukose
Na wanawake ni wajanja kwanza na kuanza yeye anatazama Faida kwanza, anaomba pesa na kutangaza shida zake, Tayari wewe ushakua kama Ajira kwake au Sehemu ya kuingizia pesa.
Uku makazini wanawake wanaongoza sana kuomba, Breakfast na Lunch, mkianza maongezi ya simu pesa za Vocha na nauli ya kazini. Kama mwanamke anamiliki gari atakuomba 50K au 30k ya mafuta ya gari. Kiuhalisia Wanawake hawafanyi jambo kwa kupoteza ila wanafanya kwa Faida zaidi.
Unapotoa Pesa zako lazima uwaze kwanza kua unachofanya kitafanikiwa au unapoteza hata kama ni shilingi 100 je utafanikiwa unachotaka au unapoteza.
Mapenzi ni Biashara, sasa inatakiwa uwe makini unawekeza wapi.
Maana Hawa Ndugu Zetu wapo After money, ukimsemesha tu anataka Pesa, Sasa kwenye hiyo pesa unayotoa kumpa Jua hiyo ni Kamali, unaweza ukaliwa na usione ndani.
Ukiona mwanamke anakusifia unaejielewa Jua unaliwa Fedha au unatumika Vizuri katika kutatua matatizo yake ya Kiuchumi. Mwanamke akiona hauendi kama anavyotaka yeye kukutumia kwa Faida zake atakuita majina Megi, mara Bahiri ujielewi na Mengine mengi.
Pia Kuna kitu cha Kutazama Kwenye pesa ambazo tunawekeza katika mapenzi, unaweza Sema ni pesa ndogo. Katika Maisha hakuna pesa ndogo.
Kama kazini au Kwenye Biashara wote mnafanya kazi Moja au shughuri Moja na Kipato ni sawa au kakuzidi ukimtongoza tu umejipa mzigo wa Kiuchumi, na mzigo huo unaojipa Kuna kua na Kamali ndani yake, upate au ukose
Na wanawake ni wajanja kwanza na kuanza yeye anatazama Faida kwanza, anaomba pesa na kutangaza shida zake, Tayari wewe ushakua kama Ajira kwake au Sehemu ya kuingizia pesa.
Uku makazini wanawake wanaongoza sana kuomba, Breakfast na Lunch, mkianza maongezi ya simu pesa za Vocha na nauli ya kazini. Kama mwanamke anamiliki gari atakuomba 50K au 30k ya mafuta ya gari. Kiuhalisia Wanawake hawafanyi jambo kwa kupoteza ila wanafanya kwa Faida zaidi.
Unapotoa Pesa zako lazima uwaze kwanza kua unachofanya kitafanikiwa au unapoteza hata kama ni shilingi 100 je utafanikiwa unachotaka au unapoteza.