Unaweza ukapiga ukaua

Unaweza ukapiga ukaua

Mr. BK

Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
99
Reaction score
35
Kama una hasira za karibu unaweza ukapiga ukaua

Mwalimu:kwanini umechelewa kuja shuleni?
Mwanafunzi:kuna mzee alidondosha hela,ndio aliyenichelewesha.
Mwalimu:safi sana,kwahiyo ukawa unamsaidia kutafuta hela yake,wanafunzi wote inabidi muwe na moyo kama wa mwenzenu,inabidi mjitolee kwa wale wanaohitaji misaada kutoka kwenu.
Mwanafunzi:Hapana hela yenyewe nilikuwa nimeikanyaga sasa nilikuwa namsubiri aondoke ili niiokote.
 
Back
Top Bottom