Unaweza ukapiga mpaka ukaua.

Unaweza ukapiga mpaka ukaua.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
{MWALIMU};Kati ya akili na pesa unachagua nini?{MWANAFUNZI};Mi nachagua pesa.{MWALIMU};We mjinga kweli,mimi ningechagua nipate akili!. {MWANAFUNZI};Sikushangai hata kidogo kwa kuchagua akili kwani siku zote mtu huchagua kitu asichokuwa nacho.
 
Back
Top Bottom