Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,019
"Ooh nimeshindwa kumpiga knockout sababu bukta yangu ilikuwa imenibama"
"Ooh viatu vyangu vilipotea airport"
Na mengine mengi mnayoyajua.
Jamaa hata ongea yake na media ni mtu wa lawama sana, kujiweka katika njia ya kutupokea lawama yoyote ya jambo huku akitengeneza maneno ya kuomba watanzania wamemuhurumie.
Sikatai systems za mambo mengi hapa bongo ni mbaya, sasa hii ndio jamaa anatumia kama mgongo kulazia mazaifu yake hata kama yeye ndio amezingua.
Kwa mtu alie deep ndio ataelewa udhaifu wa mwakinyo, ukiwa "easily carried" utaona mwakinyo hanaga kosa lolote kutokana na ufundi wake wa kupana maneno ya kujihurumisha.
"Ooh viatu vyangu vilipotea airport"
Na mengine mengi mnayoyajua.
Jamaa hata ongea yake na media ni mtu wa lawama sana, kujiweka katika njia ya kutupokea lawama yoyote ya jambo huku akitengeneza maneno ya kuomba watanzania wamemuhurumie.
Sikatai systems za mambo mengi hapa bongo ni mbaya, sasa hii ndio jamaa anatumia kama mgongo kulazia mazaifu yake hata kama yeye ndio amezingua.
Kwa mtu alie deep ndio ataelewa udhaifu wa mwakinyo, ukiwa "easily carried" utaona mwakinyo hanaga kosa lolote kutokana na ufundi wake wa kupana maneno ya kujihurumisha.