Unaweza kuwa bilionea

Unaweza kuwa bilionea

Mleta mada ungekua bilionea sidhani Kama ungekuja hapa na hayo maneno yako mabilionea wako busy na biashara zao

Kwa hyo tuseme unawaonea huruma watanzania ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uko sahihi kabisa.mabilionea hawana muda wa kufanya ninachofanya.Ila mimi ambaye nataka kuwa bilionea inabidi nifanye hiki ninachofanya.Sidhani kama kuna ubaya katika hilo
 
Wewe uko sahihi kabisa.mabilionea hawana muda wa kufanya ninachofanya.Ila mimi ambaye nataka kuwa bilionea inabidi nifanye hiki ninachofanya.Sidhani kama kuna ubaya katika hilo
Apo sawa...Sasa twambie Ni kipi uko focused nacho ili uwe bilionea Apo badae ..?

Hyo email uliyoweka what do you want from us so that we can share. ..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe uko sahihi kabisa.mabilionea hawana muda wa kufanya ninachofanya.Ila mimi ambaye nataka kuwa bilionea inabidi nifanye hiki ninachofanya.Sidhani kama kuna ubaya katika hilo
Billionaire uliuzungumzia wa kuwa na 1B in Tzs Kwani bado ujaufikia
 
Binafsi nimekuelewa Sana na kwakua ndoto yangu ni kuwa billionaire nitafanyia kazi ushauri wako
 
Back
Top Bottom