Hizi picha za wimbo gani mkuu?Kwa tunaopenda story hebu tutengeneze story nzuri kutokana na hizi picha za kijini kwetuView attachment 1005304View attachment 1005305View attachment 1005306View attachment 1005307View attachment 1005308View attachment 1005309View attachment 1005310View attachment 1005311
Hamnaga kitu kama hiki labda muamue kuakti. Au penzi jipya ule mwezi wa kwanza baada ya hapo back to normal.Kwa tunaopenda story hebu tutengeneze story nzuri kutokana na hizi picha za kijini kwetuView attachment 1005304View attachment 1005305View attachment 1005306View attachment 1005307View attachment 1005308View attachment 1005309View attachment 1005310View attachment 1005311
OK Niko Tandahimba huku sijaangalia vizuri.Hapana huo sio wimbo. Ukiangalia vizuri ni picha za kuchora
Acha uongo. Za kuchora? Mandhari ya kijijini kwenu? Ngoja nikuibulie source ya hizi picha. Sio mara ya kwanza naziona.Hapana huo sio wimbo. Ukiangalia vizuri ni picha za kuchora..mandhari ya kijinini kwetu
Sio za kuchora hizo mkuu.Hapana huo sio wimbo. Ukiangalia vizuri ni picha za kuchora..mandhari ya kijinini kwetu
Kwa tunaopenda story hebu tutengeneze story nzuri kutokana na hizi picha za kijini kwetuView attachment 1005304View attachment 1005305View attachment 1005306View attachment 1005307View attachment 1005308View attachment 1005309View attachment 1005310View attachment 1005311
Mkuu umetisha. Nakushauri uwahi kuweka hatimiliki ya haya mashairi kabla vijana wa fb hawajayaiba. Kama unaweza kuimba ingia studioKutoka juu kwenda chini...
Pic #1
Siku ya kwanza nakuona, I couldn't believe my eyes. You where such a beautiful creature I have ever seen in the entire world. Niliduwaa kwa muda moyo macho mdomo na mwili wangu kiujumla ulitambua nmeona kitu kizuri na kweli nimekipenda. Japo haikuwapo nguvu iliyosalia mwilini wangu lakini nilipata nguvu kidogo ya kukuita, kisha kukufuata
Pic #2
Nashukuru ulinipa nafasi ya kunisikiliza, kwa utulivu, upendo na u pole wako hakika nmepata mke mwema. Nakumbuka maongezi yetu ya kwanza nilipojitambulisha kwako, nikaeleza yote toka chini ya uvungu wa moyo wangu. Hakika usikivu wako uliniteka nafasi.
Pic #3
Nilivyokuambia nakupenda hakika nilimaanisha.
Na kuonyesha niko serious pete nikakuvalisha.
Kwa tabasamu la bashasha.
"Yes I do" kwa sauti ulithibitisha.
Pic #4
Safari yetu ya mapenzi ilianzia hapo. Nipe nikupe tuligandana kama kupe. Penzi kama maua kweli lilichanua.
Pic #5
Kama mume nilisimama, familia yangu kuiongoza. Hakika maisha yetu yamekua ya furaha.
Pic #6
Kwa pamoja tulisaidiana kuijenga familia yetu. Kidole kimoja hakivunji chawa.
Pic #7
Zaidi ya mke umekua rafiki kwangu, umekua mtoto wangu (my baby). Kila dakika, kila saa umekua wa kunifaa.
Pic #8
Kula nanasi hakuhitaji mwendo kasi, wapendanao ndio sisi tupeni nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio za kuchora hizo mkuu.