Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
bahati wewe unaidefine vipi ukiwa wa thamani na watu wanakuheshimu sio kila upepo unaopita na wewe unavuma nao tu puuu tunahitaji wakati mwingine kutumia akili zetu zaidi kuliko mihemko ya miili yetu hao viumbe wameshatujua ndo maana wanatuchezea left and right na sisi tunaunga mkono hayo, kwenye maisha kila mtu kaandikiwa fungu lake na lazima ushukuru lile unalopewa hata siku moja usidhani kwa kumganda mtu na kuhamia kwake mdo utapata ndoa yaweza kuwa mume/mkeo ni mwingine kabisa sasa ukianza hayo ya kungangana ndo unaanza kuchuma balaa na kuja kuchomana visu vya visogo anyway kila la heri kila mtu analo analoamini kwenye maisha
basi we ni kati ya wale wenye bahati .......
wengine hapa mpaka tuishi na mwaume tumjue vizuri ndo tuendelee mbele...
ni wachahe wenye bahati ambao wanakutana na wanaume zao wa ndoa in a first or second go...