BOENG 777X
Member
- Aug 9, 2020
- 11
- 3
Habarini za kazi za kila siku wapendwa.
Kwa mwenye uzoefu tafadhali anisaidie ivi inawezekana mtu akakopa benki mara mbili yani akiwa ameshakopa benki A na anahitaji kukopa tena benki B io inawezekana kweli.
Msaada tafadhali.
Kwa mwenye uzoefu tafadhali anisaidie ivi inawezekana mtu akakopa benki mara mbili yani akiwa ameshakopa benki A na anahitaji kukopa tena benki B io inawezekana kweli.
Msaada tafadhali.