Unaweza kufa kwa Mshtuko ukisikia jambo Hili Karne hii

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Makamu Mwenyekiti wa Yanga David Mwakalebela ni mmoja ya watu waliotoa matamko ya hovyo kabisa week hii.

Anasema Yanga ina Rangi tatu. Njano,Kijani na Nyeusi hivyo wapo tayari kutopata pesa za mdhamini sababu mdhamini anataka Logo yake itumike ambayo ina rangi nyekundu.

Hii si akili ya kawaida.waliomtuma kusema na yeye aliyesema nadhani watakuwa na shida kubwa sana. Mbona hawasemi kuwa binadamu wana damu nyekundu hivyo wasichezee yanga?

Mbona hawagomi kutumia tsh 10,000 ambayo inaitwa mwekundu sababu ina wekundu?mzee akilimali aliwahi sema ana sofa nyekundu.

Inawezekana kabisa ukawa na akili timamu,hujarogwa,hujalewa bhangi,hujabemendwa kiakili ukakataa udhamini wa mamilioni sababu ya logo ndogo tu kuwa na rangi nyekundu? Yaani katika mambo yote ya kuonesha msimamo hili ndo kuu?

Yanga ni kweli logo ya voda nyekundu itawaathiri sana kuliko kupata pesa za kulipa wachezaji,viongozi na matumizi mengine?

Unaposikia hoja kama hii kwa mara ya kwanza unaweza shtuka na kufa. Sababu hutegemei kusikia mtu msomi anaongea jambo kama hili.

Yanga acheni ujinga. Chukueni pesa mlipe wachezaji wenu maisha yao yaboreke. Akili za kipuuzi zipingwe.

 
Makamu Mwenyekiti wa Yanga David Mwakalebela ni mmoja ya watu waliotoa matamko ya hovyo kabisa week hii.

Anasema Yanga ina Rangi tatu. Njano,Kijani na Nyeusi hivyo wapo tayari kutopata pesa za mdhamini sababu mdhamini anataka Logo yake itumike ambayo ina rangi nyekundu.

Hii si akili ya kawaida.waliomtuma kusema na yeye aliyesema nadhani watakuwa na shida kubwa sana. Mbona hawasemi kuwa binadamu wana damu nyekundu hivyo wasichezee yanga?

Mbona hawagomi kutumia tsh 10,000 ambayo inaitwa mwekundu sababu ina wekundu?mzee akilimali aliwahi sema ana sofa nyekundu.

Inawezekana kabisa ukawa na akili timamu,hujarogwa,hujalewa bhangi,hujabemendwa kiakili ukakataa udhamini wa mamilioni sababu ya logo ndogo tu kuwa na rangi nyekundu? Yaani katika mambo yote ya kuonesha msimamo hili ndo kuu?

Yanga ni kweli logo ya voda nyekundu i awaathiri sana kuliko kupata pesa za kulipa wachezaji,viongozi na matumizi mengine?

Unaposikia hoja kama hii kwa mara ya kwanza unaweza shtuka na kufa. Sababu hutegemei kusikia mtu msomi anaongea jambo kama hili.

Yanga acheni ujinga. Chukueni pesa mlipe wachezaji wenu maisha yao yaboreke. Akili za kipuuzi zipingwe.

View attachment 1200311
Viongozi wa Yanga na Wapenzi wao eti watapaka Vipensi kumuunga mkono yule mhuni wa Kongo Zahera
 
Makamu Mwenyekiti wa Yanga David Mwakalebela ni mmoja ya watu waliotoa matamko ya hovyo kabisa week hii.

Anasema Yanga ina Rangi tatu. Njano,Kijani na Nyeusi hivyo wapo tayari kutopata pesa za mdhamini sababu mdhamini anataka Logo yake itumike ambayo ina rangi nyekundu.

Hii si akili ya kawaida.waliomtuma kusema na yeye aliyesema nadhani watakuwa na shida kubwa sana. Mbona hawasemi kuwa binadamu wana damu nyekundu hivyo wasichezee yanga?

Mbona hawagomi kutumia tsh 10,000 ambayo inaitwa mwekundu sababu ina wekundu?mzee akilimali aliwahi sema ana sofa nyekundu.

Inawezekana kabisa ukawa na akili timamu,hujarogwa,hujalewa bhangi,hujabemendwa kiakili ukakataa udhamini wa mamilioni sababu ya logo ndogo tu kuwa na rangi nyekundu? Yaani katika mambo yote ya kuonesha msimamo hili ndo kuu?

Yanga ni kweli logo ya voda nyekundu i awaathiri sana kuliko kupata pesa za kulipa wachezaji,viongozi na matumizi mengine?

Unaposikia hoja kama hii kwa mara ya kwanza unaweza shtuka na kufa. Sababu hutegemei kusikia mtu msomi anaongea jambo kama hili.

Yanga acheni ujinga. Chukueni pesa mlipe wachezaji wenu maisha yao yaboreke. Akili za kipuuzi zipingwe.

View attachment 1200311
Nenda kawashauri Ccm waanze kutumia Rangi nyekundu na bluu ukifanikiwa kuwashawishi nakupa hiyo elfu10 nyekundu
 
Na kuanzia leo binadamu yeyote mwenye damu nyekundu asiichezee Yanga, hapo vp..? Ni upumbavu wa hali ya juu
 
Kama waligomea uko nyuma bado ni ujinga ule ule.Unaachaje kuwaza kuboresha timu iwe na mafanikio makubwa kitaifa nakimataifa alafu unatumia huo muda kukaa kuwaza rangi ya nembo ya mdhamini.Ni akili kweli hiyo.
Acha upumbavu wewe mtoa post. Hii si mara ya kwanza Yanga kugomea nembo ya Vodacom. Ksma hufuatilii habari za soka, kaa kimya.
 
GuDume, Mimi naipenda sana Yanga, lakini Yanga ina mijitu ya hovyo, isiyo na weledi. Wote akili zao halijojo, kuanzia Akilimali hadi akili Mwakalebela.
Mdhamini brand yake ni nyekundu na weupe, wewe unataka mdhamini abadilishe rangi ya brand yake yenye thamanani ya mabilioni mengi kwa ajili yako wewe Yanga ambaye benki hauna hata milioni NNE.
Nawasihi wachangiaji wa Yanga, waache Mara moja kuchangia hiyo club kwani watendaji wake wamekosa maono, wamelevywa na pesa za bakulini.
 
Katiba yetu inasema tuna rangi tatu tu nyeusi kijani na njano tunafuata katiba ata nchi isipo fuata katiba lazima watu waumie labda tuitishe mabadiliko ya katiba
 
Inashangaza sana kuwa na watu wa namna hii. Sijajua wanafikiri kwa kutumia sehemu gani ya mwili.lakini its obvious siyo akili/kichwa au ubongo.team ipo kwenye hard time inahitaji pesa. Kuna watu wanaona logo tu ni issue? Hako ka rangi kekundu kwenye logo kataibadili vipi yanga?

Waswas wangu ni kuwa kuna wajanja wachache wanafaidika na hali mbaya ya kiuchumi ya yanga. Hawa wanatumia michango kwa kujinufaisha so wanajua team ikipata chanzo cha mapato kinachofahamika watu wataweza hoji pesa zilipoenda. But kwa hii michango nobody asks sababu haifahamiki vizuri. But wanatajirika sana. Kama ilivyokuwa kwa simba kipindi kile cha nyuma.

Ndo maana kuna watu hawataki hali iliyopo simba kwa sasa maana kila kitu kinaenda kwa mahesabu. So kuna watu wapo yanga wakitumia hali hii kujinufaisha zaidi na ndo maana hawapo tayari kuona inajikwamua toka hapo ilipo.

GuDume, Mimi naipenda sana Yanga, lakini Yanga ina mijitu ya hovyo, isiyo na weledi. Wote akili zao halijojo, kuanzia Akilimali hadi akili Mwakalebela.
Mdhamini brand yake ni nyekundu na weupe, wewe unataka mdhamini abadilishe rangi ya brand yake yenye thamanani ya mabilioni mengi kwa ajili yako wewe Yanga ambaye benki hauna hata milioni NNE.
Nawasihi wachangiaji wa Yanga, waache Mara moja kuchangia hiyo club kwani watendaji wake wamekosa maono, wamelevywa na pesa za bakulini.
 
Hili lijamaa ndio maana lilishindwa uchaguzi kule Iringa Mara kibao..akili zake ziko kwenye zile nyama za nyuma ya mwili wake...
 
Makamu Mwenyekiti wa Yanga David Mwakalebela ni mmoja ya watu waliotoa matamko ya hovyo kabisa week hii.

Anasema Yanga ina Rangi tatu. Njano,Kijani na Nyeusi hivyo wapo tayari kutopata pesa za mdhamini sababu mdhamini anataka Logo yake itumike ambayo ina rangi nyekundu.

Hii si akili ya kawaida.waliomtuma kusema na yeye aliyesema nadhani watakuwa na shida kubwa sana. Mbona hawasemi kuwa binadamu wana damu nyekundu hivyo wasichezee yanga?

Mbona hawagomi kutumia tsh 10,000 ambayo inaitwa mwekundu sababu ina wekundu?mzee akilimali aliwahi sema ana sofa nyekundu.

Inawezekana kabisa ukawa na akili timamu,hujarogwa,hujalewa bhangi,hujabemendwa kiakili ukakataa udhamini wa mamilioni sababu ya logo ndogo tu kuwa na rangi nyekundu? Yaani katika mambo yote ya kuonesha msimamo hili ndo kuu?

Yanga ni kweli logo ya voda nyekundu itawaathiri sana kuliko kupata pesa za kulipa wachezaji,viongozi na matumizi mengine?

Unaposikia hoja kama hii kwa mara ya kwanza unaweza shtuka na kufa. Sababu hutegemei kusikia mtu msomi anaongea jambo kama hili.

Yanga acheni ujinga. Chukueni pesa mlipe wachezaji wenu maisha yao yaboreke. Akili za kipuuzi zipingwe.

View attachment 1200311
Kama ni masharti ya mganga kawaweza kweli.
Siku wakiweka logo yenye rangi nyekundu huenda mganga amewaonya yatawakuta ya kuwakuta.

This is only in Africa!
 
Back
Top Bottom