Hahaha! Ndege wa aina moja huruka pamoja. Ushawahi ona njiwa kwenye kundi la kunguru? Kama alivosema Kaizer hapo juu, kama hubby ndo huyo kazi unayo. Next time atafuatwa kuombwa ushauri na rafikiye anayelazimishwa kuchamba mtetea kwa ulimi kabla ya kungonoka.
Kijana acha mambo zako mapenzi ya kushika nya?? Mmhhh hiyo ngumu aiseee dah nimechekaje mie
Kinyaaaa kinatokana na tafsiri mbovu na ya kijamii kuhusu mambo fulani including taka zitokazo mwilini.Mawazo potofu.Mbona wanaozibua vyoo hawapati shida?
Hommie Asprin leo ni jumangapi vile?
Hommie Asprin leo ni jumangapi vile?
Hahaha! Ndege wa aina moja huruka pamoja. Ushawahi ona njiwa kwenye kundi la kunguru? Kama alivosema Kaizer hapo juu, kama hubby ndo huyo kazi unayo. Next time atafuatwa kuombwa ushauri na rafikiye anayelazimishwa kuchamba mtetea kwa ulimi kabla ya kungonoka.
Nadhani ijumaa. Hebu niulizie kwa Kaunga, appointment yake ya kumchamba mtu ni lini? Akisema kesho, ujue leo alhamisi. On serious note: kumchamba mtu mzima aliyetoka kupuu kwa raha zake, tena asiye na tatizo la kiafya ni ukichaa ambao hata Mirembe watashindwa kumpokea mgonjwa wa aina hiyo. Tahadhari: msifanye mapenzi na vichaa, ni Hatari kwa afya ya baioloji zenu.
Umeshasema ni taka hivyo si kitu cha kufurahisha sana.
Halafu hao wazibua vyoo, sidhani kama ni job of their choice, ni kitu cha kujikimu zaidi na kupungukiwa options.
Unapofuatwa kuombwa ushauri ni ishara kuaminika na sio tofauti na hapo!!
Afu unaniuzi? Umeshindwa kumuuliza wazibua vyoo wanakuwa wanafanya mapenzi na mende au nzi? Mbona sijaona Mende kajifungua huku Martenity Ward. Hili ni jukwaa la MMU for Christ's sake! Siyo la wazibua matoileti. Ile ni kazi, siyo mahaba. Ebo!
Kaunga,Neno taka linajulikana baya kijamii zaidi,but watu wanashika zao nothing wrong!Jambo likiwa baya ni wewe umelitafsiri hivyo.Kwanza kiuhalisia hakuna baya wala zuri ni mpaka uamue hivyo.Ni kwanini unadhani wazibua vyoo hawajachagua hiyo kazi kwa hiari yao?
Afu unaniuzi? Umeshindwa kumuuliza wazibua vyoo wanakuwa wanafanya mapenzi na mende au nzi? Mbona sijaona Mende kajifungua huku Martenity Ward. Hili ni jukwaa la MMU for Christ's sake! Siyo la wazibua matoileti. Ile ni kazi, siyo mahaba. Ebo!