Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,661
- 46,349
Ukiwa kama mpinzani au mtu asiye na chama lakini haukikubali chama cha CCM ni mtu gani wa CCM akiwekwa kugombea urais utampigia kura kwa maslahi mapana ya nchi?
Ukiwa kama mwana CCM kindakindaki ni mtu gani wa upinzani akigombea Urais unaweza kumpigia kura kwa maslahi mapana ya nchi
Ukiwa kama mwana CCM kindakindaki ni mtu gani wa upinzani akigombea Urais unaweza kumpigia kura kwa maslahi mapana ya nchi