College, Institute, University Graduates, Watumishi wa Umma munawashauri Nini ndugu zetu wa form six wanaojiandaa kwenda Vyuoni?
Ukizingatia Ufaulu wao ulivyo juu, Competition ya admission ya vyuo itakavyokuwa na kubwa zaidi maisha baada ya kusoma watakaporudi mtaani.
Ni kozi Gani unawashauri Vijana iwe vipao mbele vyao hasa ukizingatia Fursa za ajira upande wa utumishi na Private sector.
Ukizingatia Ufaulu wao ulivyo juu, Competition ya admission ya vyuo itakavyokuwa na kubwa zaidi maisha baada ya kusoma watakaporudi mtaani.
Ni kozi Gani unawashauri Vijana iwe vipao mbele vyao hasa ukizingatia Fursa za ajira upande wa utumishi na Private sector.