Sadiki Abdallah
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 885
- 579
Devid MihamboHaya Madundo Mtambo, Mbuyi Yondani, Fikiri Magoso, David Mihambo, Abeid Mziba, Said Mwamba Kizota, Amour Hassan, Hassan wembe
Devid MihamboHaya Madundo Mtambo, Mbuyi Yondani, Fikiri Magoso, David Mihambo, Abeid Mziba, Said Mwamba Kizota, Amour Hassan, Hassan wembe
Haruna Moshimohamed mwameja
Duh ! umenikumbusha igembensabho kulikuwa na chuma kinaitwa silvester lugembe (msumbiji )jamaa alikuwa very slow ila mtaalamu wa kona alikuwa akipiga anafunga moja kwa moja .Bora TFF irudishe michuano ya Kombe la Taifa. Halafu wahakikishe kila mchezaji akachezee timu ya mkoa wake, tunataka Mwanza heroes, Relu Eagles, Igembensabo, n.k
Musimsahau Hussein Tindwa, aliekufa kiwanjani siku simba ilipocheza na Raccah Rovers ya Nigeria, hapo ilikuwa baada ya Simba kuipiga Mufulira Wandereres goli tano bila, kumbuka mechi ya mwanza iliochezwa uwanja wa taifa simba ilipigwa nne bila, huo ulikuwa ni mwaka 1978 sijui wangapi wanakumbuka hii
Hapana mkuu Simba walitoka sare ya bila kufungana na Raccah Rovers hapo Taifa siku ambayo Hussein Tindwa alifariki na mechi ya marudiano Naijeria mnyama akafa 2-0Musimsahau Hussein Tindwa, aliekufa kiwanjani siku simba ilipocheza na Raccah Rovers ya Nigeria, hapo ilikuwa baada ya Simba kuipiga Mufulira Wandereres goli tano bila, kumbuka mechi ya mwanza iliochezwa uwanja wa taifa simba ilipigwa nne bila, huo ulikuwa ni mwaka 1978 sijui wangapi wanakumbuka hii
Mzee wa upara aliitwa Joram Mwakatika na sio JohnPamba FC (1980s)
Juma Mhina, Yusuf Bana, Abdallah Bori, Athuman Juma Chama, Ibrahim Magongo, John Mwakatika (Mzee Upara), Isaack Mwakatika, James Ng'ong'a (Mzee Mzima) Edward Hiza, Khalid Bitebo Zembwela, Abuu Juma,Beya Simba
Pamba FC (TP Lindanda Wana Kawekamo)
Madata Lubigisa, George Masatu, Husen Masha,Mao Mkami,Mkama Ntare,Kitwana Selemani,John Makelele,Msonga Rashid
Kitwana Manara hakuitwa Computer bali Sunday Manara.damian kimti, kasongo athumani, issa athumani, mwanamtwa kihwelo, eric sagala, often martin, madundo mtambo, lila shomari, kitwana manara (komputer) abuu jumaa, makumbi juma (homa ya jiji)
Saad Ally alicheza nyuma kabla ya Thuen Ally mainly 1974-1975 na nafikiri majeraha yalimharibia mpira wake ila alikuwa ni balaa, nakumbuka mechi yao na Mehalla El Kubra alipoamua mechi dakika za lala salama.Hapo mbele alikuwapo Tuweni Ally na Saadi Ally
...Daniel Poka, Hamisi Kamungu, Eliakim Mbilike, Justine Simfukwe, Abbas ...........Huyo Dennis Seigulan hakuwa CDA nafikiri alikuwa Tumbaku au Reli za Morogoro.CDA Watoto wa Nyumbani
Mkala Maulidi (golini), Yusuf Ambwene (alivunjwaga mguu na Ahmed Amasha), Jumanne Chale, Charles Sulemani, Selemani Abeid (Mkoba), Charles Mngodo, Eric Sagala, Denis Saigulan, Justine Simfukwe (Mawazo Nelson).
Uliimbwa na Mbaraka Mwishehe nafikiri ilikuwa ni wa 1978 akiwa Mombasa mauti yalikomkutia.@ Tongoni umenikumbusha Marehemu (R.I.P) Gibson Sembuli, maana kuna wimbo walimwimbia sina uhakika sn kama ni Marijani au Mbaraka mwinshehe
Salvatory Edward, Mohamed mwameja, Steven names, Niko bambaga dah! Watu walikuwa wanajua mpira jamani dah!
Alipoibukia Tuweni Ali.Musimsahau Hussein Tindwa, aliekufa kiwanjani siku simba ilipocheza na Raccah Rovers ya Nigeria, hapo ilikuwa baada ya Simba kuipiga Mufulira Wandereres goli tano bila, kumbuka mechi ya mwanza iliochezwa uwanja wa taifa simba ilipigwa nne bila, huo ulikuwa ni mwaka 1978 sijui wangapi wanakumbuka hii
Mohamed KachumbariDavid Mwakalebela kumbuka alichofanya zanzibar 1992, Amour Aziz, Juma Kidishi, atanas Michael,Hassan Haffif