Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,800
Sikumbuki vzr kama hawa wachezaji walikuwa ni wa Malindi au Mlandege ya Zanzibar, ila nakumbuka miaka ya 90s nikiwa mdogo nilikua nikisia balaa lao.
1. Victor Bambo (Shujaa)
2. Hassan Wembe
3. Amri Aziz
4. Muhidini Cheupe
Yaani japo ilikua ni Redioni ila walikua ni shida!
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Victor Bambo (Shujaa)
2. Hassan Wembe
3. Amri Aziz
4. Muhidini Cheupe
Yaani japo ilikua ni Redioni ila walikua ni shida!
Sent using Jamii Forums mobile app