DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 421
- 648
Yeye ni baba anayekimbia majukumu ila watoto wake wanapokuwa na kujitegemea hutaka kulipwa fadhila ingali wale wadogo anaowalea bado hawatumikii kama baba kamili.
Yeye huwa anajua kabisa wakati huu mwanangu anahitaji kulaa ni muda wakupambana wewe ule ila akikuona umeenda nyumba ya jirani hurudisha mikono nyuma na kusema mwanangu kajiongeza mimi nitakula hiki kidogo walonipa nduguze yeye atakula uko.
Baba huyu watoto tunaishi nae kimazoeya kwakuwa yeye ni mwenye kaya tunakuwa waogo kufanya maamuzi
Je, baba huyo unamjua?
Je nani wakumbadilisha baba huyo kama siyo sisi wanae wenyewe?
Nani wakufanya tumfurahie baba huyu kama siyo sisi wanae?
Yeye huwa anajua kabisa wakati huu mwanangu anahitaji kulaa ni muda wakupambana wewe ule ila akikuona umeenda nyumba ya jirani hurudisha mikono nyuma na kusema mwanangu kajiongeza mimi nitakula hiki kidogo walonipa nduguze yeye atakula uko.
Baba huyu watoto tunaishi nae kimazoeya kwakuwa yeye ni mwenye kaya tunakuwa waogo kufanya maamuzi
Je, baba huyo unamjua?
Je nani wakumbadilisha baba huyo kama siyo sisi wanae wenyewe?
Nani wakufanya tumfurahie baba huyu kama siyo sisi wanae?