Unawaambia nini hawa madenti..?

Unawaambia nini hawa madenti..?

Ntaawambia waache kukaa Zero distance pia washushe skirts zao!!!
 
551602_336154573141305_313767940_n.jpg
 
Naomba kumuuliza Mbuzi Mzee hizi pic ulipiga wewe au umeletewa?
 
Mbuzi Mzee.
  • hivi hizi picha huaga unazipata wapi?
  • huaga unafikiria nini?
  • unafanya kazi magazeti ya udaku?
 
Last edited by a moderator:
Wangekeketwa wasingeyafanya yote hayo so HUO NI UGONJWA UTAKANAO NA UKOSEFU WA MKEKETO
[MENTION]Mzizi Mkavu[/MENTION][MENTION]Smile[MENTION]Kongosho[/MENTION][/MENTION]
 
Mh. Ningeweza ku comment kama tu ningehakikishiwa wako above 18, lasi hivyo si ni u pedophile huu.
 
Back
Top Bottom