Unaupendea Nini Michepuko Wako?

Unaupendea Nini Michepuko Wako?

Na sisi wakike wenye michepuko a.k.a viben10 tunaruhusiwa Ku comment?
Au Uzi wetu utafunguliwa?

Maana wakati nyie mnaenda kwenye michepuko na sisi kuna sehemu huwa tunaenda[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Raha jipe mwenyewe.
 
Mpaka wahuni watakapoacha kulala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi na wala si mabwana harusi. #niponipo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawaachi ng'ooo, kwahiyo jitahidi tu. Kizuri kula na nduguzo.
 
hivi punyeto ni kuchepuka?... watu na fani zao bana....
 
Mi naenjoy kumpiga miti mai waifu tu, navopiga mashine siwazi kuombwa hela wala kuambukizwa homa ya maini
 
Back
Top Bottom