Unaupendea Nini Michepuko Wako?

Unaupendea Nini Michepuko Wako?

mwemweremwemwere

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2016
Posts
605
Reaction score
681
Wengine tulishaoa kitambo lakini kuna siku unasema piga ua lazima niende kule.....

Mimi kwakweli ni ile nyonga laini kwa kweli sio kingine.

Wenye michepuko yetu twende pamoja
 
Zile style mbali mbali za KIZAZI KIPYA tu, matata sana!
 
Ilikuwa kitambo nikiwa na mme wa mtu,, nilikuwa nafurahi vile jamaa alikuwa hana say kwangu ila nilisha achaga nimebaki njia kuu
 
Na sisi wakike wenye michepuko a.k.a viben10 tunaruhusiwa Ku comment?
Au Uzi wetu utafunguliwa?

Maana wakati nyie mnaenda kwenye michepuko na sisi kuna sehemu huwa tunaenda[emoji23]
Ruksa kiongoz
 
Na sisi wakike wenye michepuko a.k.a viben10 tunaruhusiwa Ku comment?
Au Uzi wetu utafunguliwa?

Maana wakati nyie mnaenda kwenye michepuko na sisi kuna sehemu huwa tunaenda[emoji23]
Sikuamini mpaka utume vielelezo
 
Back
Top Bottom