Ni miaka mingi sasa tangu najitambua,,mikasa ni mingi na mengi ya kujifunza...
Kwa hili naomba nijifunze kwenu...
Je ni SHERIA,TARATIBU,UTASHI AU MBINU ZA KIBIASHARA kutumia majina ya wanyama kutangaza bidhaa...?!
Achana na Biashara zote leo 2zungumzie CEMENT..?!
TWIGA CEMENT
SIMBA CEMENT
TEMBO CEMENT
FARU(RINHO)CEMENT
NK...
Mchada kwene tuta..
Kwa hili naomba nijifunze kwenu...
Je ni SHERIA,TARATIBU,UTASHI AU MBINU ZA KIBIASHARA kutumia majina ya wanyama kutangaza bidhaa...?!
Achana na Biashara zote leo 2zungumzie CEMENT..?!
TWIGA CEMENT
SIMBA CEMENT
TEMBO CEMENT
FARU(RINHO)CEMENT
NK...
Mchada kwene tuta..