Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,285
- 2,595
๐ก๐ฎ๐บ๐ฒ-๐ฑ๐ฟ๐ผ๐ฝ ๐ณ๐ฒ๐ฎ๐๐๐ฟ๐ฒ ๐บ๐ฝ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ถ๐ผ๐ ๐ญ๐ณ
Sio lazima kila mara utaje namba yako ya simu kwa mtu ? Unaweza share namba yako ya simu na simu nyingine kwa kugusanisha tu kwenye iphone.
Apple wametambulisha feature mpya kwenye iOS ya 17 ambayo inaitwa Namedrop ni kama vile iliyokuwa Airdrop miaka ya nyuma kwenye ios zilizopita basi kuna feature mpya inaitwa Namedrop kwenye iOS 17.
Ni feature itakusaidia kuweza kushare taarifa Zako muhimu kama vile namba za simu kupitia simu nyingine bila kuitaja kwa urahisi sana. We chukuliwa tu mko kwenye kundi kubwa la watu mbalimbali mnazungumza mambo mbalimbali.
Sasa mnataka kubadilisha mawasiliano sio lazima mpaka umtumie mtu ujumbe kwa njia ya sms au kubadilisha simu hapana unatumia tu Namedrop utaweza kushare namba Zako za simu na mtu mwingine.
Pamoja na email nk Hii feature imekuja kupunguza Matumizi ya kuomba Business Kadi kwa watu. We unafanya tu kugusanisha utaweza share taarifa Zako kwa kutumia feature ya Namedrop ila inafanya Kazi kwa watumiaji wa iphone tu.
Sio lazima kila mara utaje namba yako ya simu kwa mtu ? Unaweza share namba yako ya simu na simu nyingine kwa kugusanisha tu kwenye iphone.
Apple wametambulisha feature mpya kwenye iOS ya 17 ambayo inaitwa Namedrop ni kama vile iliyokuwa Airdrop miaka ya nyuma kwenye ios zilizopita basi kuna feature mpya inaitwa Namedrop kwenye iOS 17.
Ni feature itakusaidia kuweza kushare taarifa Zako muhimu kama vile namba za simu kupitia simu nyingine bila kuitaja kwa urahisi sana. We chukuliwa tu mko kwenye kundi kubwa la watu mbalimbali mnazungumza mambo mbalimbali.
Sasa mnataka kubadilisha mawasiliano sio lazima mpaka umtumie mtu ujumbe kwa njia ya sms au kubadilisha simu hapana unatumia tu Namedrop utaweza kushare namba Zako za simu na mtu mwingine.
Pamoja na email nk Hii feature imekuja kupunguza Matumizi ya kuomba Business Kadi kwa watu. We unafanya tu kugusanisha utaweza share taarifa Zako kwa kutumia feature ya Namedrop ila inafanya Kazi kwa watumiaji wa iphone tu.