Unaijua Name drop feature mpya ni balaa

Unaijua Name drop feature mpya ni balaa

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,285
Reaction score
2,595
๐—ก๐—ฎ๐—บ๐—ฒ-๐—ฑ๐—ฟ๐—ผ๐—ฝ ๐—ณ๐—ฒ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ถ๐—ผ๐˜€ ๐Ÿญ๐Ÿณ

Sio lazima kila mara utaje namba yako ya simu kwa mtu ? Unaweza share namba yako ya simu na simu nyingine kwa kugusanisha tu kwenye iphone.

Apple wametambulisha feature mpya kwenye iOS ya 17 ambayo inaitwa Namedrop ni kama vile iliyokuwa Airdrop miaka ya nyuma kwenye ios zilizopita basi kuna feature mpya inaitwa Namedrop kwenye iOS 17.

Ni feature itakusaidia kuweza kushare taarifa Zako muhimu kama vile namba za simu kupitia simu nyingine bila kuitaja kwa urahisi sana. We chukuliwa tu mko kwenye kundi kubwa la watu mbalimbali mnazungumza mambo mbalimbali.

Sasa mnataka kubadilisha mawasiliano sio lazima mpaka umtumie mtu ujumbe kwa njia ya sms au kubadilisha simu hapana unatumia tu Namedrop utaweza kushare namba Zako za simu na mtu mwingine.

Pamoja na email nk Hii feature imekuja kupunguza Matumizi ya kuomba Business Kadi kwa watu. We unafanya tu kugusanisha utaweza share taarifa Zako kwa kutumia feature ya Namedrop ila inafanya Kazi kwa watumiaji wa iphone tu.
Namedrop.jpg
 
Wapo wenye hofu kwamba what if hutaki kushare hizo information? Ni kwamba ni lazima wewe uruhusu hizo taarifa ndipo zihamie kwa mhusika. Kwa hiyo haiwezi kwenda tu tasinimu (automatically), just kwa kugusanisha simu.
 
Hio si Nfc tu ama kuna cha ziada?
Cha ziada ni kuhusu Airdrop uwezo wa kurusha ma file makubwa makubwa kwenye simu yako na mwingine inawezekana ukarusha Album, videos nk

Pia hata kama ata mbali bado utaweza kurusha hivyo vitu kupitia Air drop [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Wapo wenye hofu kwamba what if hutaki kushare hizo information? Ni kwamba ni lazima wewe uruhusu hizo taarifa ndipo zihamie kwa mhusika. Kwa hiyo haiwezi kwenda tu, just kwa kugusanisha simu.
Kabisa boss [emoji2]wangu ila ni nzuri maana inawezekana mko eneo la umati wa watu wengi mnafanya ku share tu contact info bila kubadilisha simu
 
Cha ziada ni kuhusu Airdrop uwezo wa kurusha ma file makubwa makubwa kwenye simu yako na mwingine inawezekana ukarusha Album, videos nk

Pia hata kama ata mbali bado utaweza kurusha hivyo vitu kupitia Air drop [emoji91][emoji91][emoji91]
Airdrop pia ni wireless sharing feature kama wifi direct, miracast, Dlna etc zipo kibao.
 
Back
Top Bottom