Mnanje Boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 254
- 811
Acha kujiliza Son,
Sawa daughter πAcha kujiliza Son,
Hilo jina,una hamu ya kulia..Sawa daughter π
Na ntalia vibaya.. πHilo jina,una hamu ya kulia..
Huwa unanyamaza mwenyewe au Hadi ubembelezwe,Na ntalia vibaya.. π
Akiwepo mbembelezaji sinyamazi hadi nibembelezwe. π«£Huwa unanyamaza mwenyewe au Hadi ubembelezwe,
Don't be too hard... mapenzi na akili hayaendani.Hapo sawa,nikajua zile style kununuliana maua,sijui KADI tena uandike kwa mkono,lol..
Teach me how kubembeleza,maana me wifi yako akinuna,namkaushia kisirani kikiisha atanitafuta