Mi binafsi kila siku lazma nitongoze/kuomba contact walau mwanawake mmoja au wawili ili kuchangamsha afya ya akili na kuifanya simu isiote kutu,haijalishi kama watakubali ama kukataa but changamoto inakuja kwenye kufanywa ATM mwe!!
toa uzoefu wako we unatongoza wangapi kwa siku?
na ukapime gono asubuhi mara 7 na jioni HIV mara 5natongoza 7 asubuh, nawagonga 5 jion..
Kuna siku nimefanya huu utafiti nione hali ipoje, basi siku hiyo nikawa natongoza tukila demu ninaye kutana naye , basi hadi giza kuingia nilitongoza kama mademu 15, na nikapata namba z simu 12, ila hakuna hata mmoja niliye wasiliana naye au kumtafuta
Wengine siku nzima tunaweza tusikutana na mwanamke. Unatoka nyumbani unaenda ofisini na gari, ofisi zetu wengine hakuna wanawake, nikitoka ofisini kwenye gari narudi nyumbani. Unatongoza saa ngapi? Labda weekend kwenye maeneo ya starehe.Mi binafsi kila siku lazma nitongoze/kuomba contact walau mwanawake mmoja au wawili ili kuchangamsha afya ya akili na kuifanya simu isiote kutu,haijalishi kama watakubali ama kukataa but changamoto inakuja kwenye kufanywa ATM mwe!!
toa uzoefu wako we unatongoza wangapi kwa siku?
tongoza hata jf broWengine siku nzima tunaweza tusikutana na mwanamke. Unatoka nyumbani unaenda ofisini na gari, ofisi zetu wengine hakuna wanawake, nikitoka ofisini kwenye gari narudi nyumbani. Unatongoza saa ngapi? Labda weekend kwenye maeneo ya starehe.
Eti mazee swali la ufahamu kwa mwenye mzani huko kwake.....Mwanaume ukidindisha kg zinaongezeka..?
Not a priority on my to-do list.tongoza hata jf bro
Eti mazee swali la ufahamu kwa mwenye mzani huko kwake.....Mwanaume ukidindisha kg zinaongezeka..?
Mweee mweee....Not a priority on my to-do list.
Msute mwaya, amekufuata inbobo mara ngapiMweee mweee....
Vipi ajabu?Mweee mweee....
Mi binafsi kila siku lazma nitongoze/kuomba contact walau mwanawake mmoja au wawili ili kuchangamsha afya ya akili na kuifanya simu isiote kutu,haijalishi kama watakubali ama kukataa but changamoto inakuja kwenye kufanywa ATM mwe!!
toa uzoefu wako we unatongoza wangapi kwa siku?
Kuna jambo hapa sio bureMweee mweee....