Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,392
- 7,863
Usiige watu fuata msimamo wako kuna watu hawawezi kufanya shughuli zao mpaka wanywe pombe na mambo yanaenda.Salam!
Huwa nashangaa sana katikati ya wiki (j4 mpk Alhamisi) mtu anakunywa pombe mpaka mid night huku akijua kesho saa 1:30 asubuhi anaamkia kazini.
Binafsi nakunywa pombe lakini ni siku mbili tu za wiki yaani Ijumaa na Jmos, na nakesha club au bar! Jumapili sinywi pombe kabisa maana kesho yake naamkia kazini.
Zamani niliwahi kuamka na hang over siku ya juma3, ilinitesa sana kuhudumia watu kazini. Hamna kitu sikipendi kama kuwa na hangover kazini.
