M.Rutabo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 1,048
- 2,765
Kwanza hawezi kuingia mbinguni kwa sababu ni kada wa ccm.Hata wewe hutaingia huko mbinguni....kasome kitabu chako cha imani vizuri ujue kama kinasema sababu ya kuingia huko ni kutokunywa pombe.
Kwanza hawezi kuingia mbinguni kwa sababu ni kada wa ccm.Hata wewe hutaingia huko mbinguni....kasome kitabu chako cha imani vizuri ujue kama kinasema sababu ya kuingia huko ni kutokunywa pombe.
Kunywa pombe sio vbaya Ila matokeo baada ya kunywa ndo vbya


ili matokeo yasiwepoMwingine hata akiwa bar yuko kazini, na pesa inaingiaSalam!
Huwa nashangaa sana katikati ya wiki (j4 mpk Alhamisi) mtu anakunywa pombe mpaka mid night huku akijua kesho saa 1:30 asubuhi anaamkia kazini.
Binafsi nakunywa pombe lakini ni siku mbili tu za wiki yaani Ijumaa na Jmos, na nakesha club au bar! Jumapili sinywi pombe kabisa maana kesho yake naamkia kazini.
Zamani niliwahi kuamka na hang over siku ya juma3, ilinitesa sana kuhudumia watu kazini. Hamna kitu sikipendi kama kuwa na hangover kazini.
Kwahyo ukijiajiri ndio utakuwa unasimamia kazi zako bila kujali muda. Watu waliojiajiri ambao hawahitaji ukaribu mkubwa wa biashara yake ni wachache sana. Hebu fikiria mtu anafungua duka saa moja kamili asubuh anatoka saa mbili usiku siku saba za wiki sasa naye huyo anauhuru wa muda?Mkiambiwa mjiajiri mnaona watu waabwabwaja..
Pole mkuu una ratba ngumu sana yani ijumaa na jmoc tu dah!
hata maza ntilie tu ana uwezo wa kukubadilishia hiyo timetable,simple.
Unajua mada inaongelea nini?Kwahyo ukijiajiri ndio utakuwa unasimamia kazi zako bila kujali muda. Watu waliojiajiri ambao hawahitaji ukaribu mkubwa wa biashara yake ni wachache sana. Hebu fikiria mtu anafungua duka saa moja kamili asubuh anatoka saa mbili usiku siku saba za wiki sasa naye huyo anauhuru wa muda?
Kutokukitambua..tuNiliwahi kunywa pombe leo halafu kesho yake nina UE!Asubuhi nilienda kuhonga kwa daktari akanilaza!Ilinicost kurudi chuo kufanya special exams!!
Pombe nyoko sana ila mpaka leo napiga!
Inavyoonekana waliojiajiri wao wana muda zaidi wakulewa kila siku...TENA wanahela sana.Yaani kuajiriwa humu JF ni kama dhambi vile, na nani aliyewadanganya kuwa waliojiajiri wana muda wa kupoteza?
kama unasoma biblia muujiza wa kwanza wa yesu alifanya nini pale kwenye sherehe kanaUwe unaenda kazini asubuhi au unaenda kwenye biashara yako, pombe siyo kitu kizuri. Mungu anakataza na wanaokunywa wote hawataingia mbinguni. (Jaribuni kutafakari hili wakati mkiendelea kuchangia hii mada iliyoletwa).
Duh aisee nilikuwa sijui na vp kura tunda kimasiara nayo dhambi au sio dhambiUwe unaenda kazini asubuhi au unaenda kwenye biashara yako, pombe siyo kitu kizuri. Mungu anakataza na wanaokunywa wote hawataingia mbinguni. (Jaribuni kutafakari hili wakati mkiendelea kuchangia hii mada iliyoletwa).
Alafu analalama kuhusu hangover sijui anakunywaga pombe ganiMkiambiwa mjiajiri mnaona watu waabwabwaja..
Pole mkuu una ratba ngumu sana yani ijumaa na jmoc tu dah!
hata maza ntilie tu ana uwezo wa kukubadilishia hiyo timetable,simple.
alafu wengine wako likizoNa kuna wengine ma dili ya hela tunayapatia baa wakati na siku yoyote, usidhani kila mtu anasubiri kwenda kutega mkono dirishani kila mwisho wa mwezi, tukiwaambia mjiajiri mnatuona sisi ma pimbi unaona jinsi mnavyoshindwa kutumia hela zenu kisa kuwaogopa waliowaoa
Point ya msingi.Kwani ukinywa lazima ulewe?.