JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..kweli TL ni kiboko yao.
..tangu aulize swali hilo hatujasikia tena habari ya watu kupimwa mkojo.
..huyu jamaa ni mtu wa mizaha na mchekeshaji.
..kuna wanasiasa wachache sana nchi hii wanaoweza kuelezea mambo mazito kwa ufasaha na wakitumia lugha za mizaha kama TL.
..tangu aulize swali hilo hatujasikia tena habari ya watu kupimwa mkojo.
..huyu jamaa ni mtu wa mizaha na mchekeshaji.
..kuna wanasiasa wachache sana nchi hii wanaoweza kuelezea mambo mazito kwa ufasaha na wakitumia lugha za mizaha kama TL.