unataka utoke wkend na mpoleeee?

unataka utoke wkend na mpoleeee?

naona membaz wesha ni link na kidume teh teh teh! Jiandkishe uje uhakkshe.
 
I agree with u! Lkn huwa kuna post nyingine more uharo than huu, zinazoanzishwa na wanaume, hatuzipondi kihivi na mara nyingi tunaparticipate in huo uharoutani!

Mpolee amekuwa akitafuta uceleb; alikaribu kuwa anachangia points, haikumtoa but since amekuwa akipost vitu kama hivi kapata umaarufu in her own way.

Let her be, mradi hajamtusi mtu; it is her personality in stake which can be fake as well!

Mwisho, tuache double standard women also have a right to talk dirty, fantasize, flirty and have fun kama wanaume!

kama ile thread ya bishanga ya kumzalisha mke wa mtu ilikuwa ni crap tupu. Waliochangia karibia wote hawakumwaga povu na kuna wengine walikuwa wanachungulia tu hawacomment. Najaribu kupeleleza kwanini wanawake wakianzisha mambo ya mzaha wanashambuliwa sana badala ya kueleweshwa kiustaarabu kama wamekosea.
 
kama ile thread ya bishanga ya kumzalisha mke wa mtu ilikuwa ni crap tupu. Waliochangia karibia wote hawakumwaga povu na kuna wengine walikuwa wanachungulia tu hawacomment. Najaribu kupeleleza kwanini wanawake wakianzisha mambo ya mzaha wanashambuliwa sana badala ya kueleweshwa kiustaarabu kama wamekosea.



ikiwa ni ke wanaanza uzush kua ni me. Ajab badala ya wadada kunipa sapot hao ndio wa kwanza kuja kutapika! Wape vidonge vyao shost
 
hahahahahah i'm expressing my feelings ... sometime history can change ..
Do you believe in second chance?...

I do,but am not that flexible nowadays...utu uzima huu dearest....lol...waiting!
 
kasome upya utagundua wamenivunjia mahsiano ya miaka 5 sas nimeamua kula maisha kwenda mble haina maana kuwekeza mahsiano wkt yanavunjika aaarrrgh! Alaf mm c mtoto nishakomaa
mmh!!!:A S-confused1:
 
Mpole umekaa karibu na Rose 1980 nini? maana mwandiko wako unafanana na wa kipenzi Rose.
haya ngoja wababa wajinadi ujichagulie mwaya maana ukikaa kimya mwisho utadoda. Raha jipe mwenyewe shost.
 
kaaaaah!!!mi suraa kavuuu....nilikuwagaa jambaziii,nakunywaa gongooo,navutaaa sigara pakti 2 kwa siku,napendaa viwanjaa kama mrinaa,shevazi,picknic,matakoo bar,arusha rahaa,marafiki zangu wengi niwa ungalimited,sanawarii,miazini,tegeru,nakama tu ki du ni mara mojaaa sirudi tenaaa...uko tayari mpoleee
 
kama ile thread ya bishanga ya kumzalisha mke wa mtu ilikuwa ni crap tupu. Waliochangia karibia wote hawakumwaga povu na kuna wengine walikuwa wanachungulia tu hawacomment. Najaribu kupeleleza kwanini wanawake wakianzisha mambo ya mzaha wanashambuliwa sana badala ya kueleweshwa kiustaarabu kama wamekosea.

Umeona eeh!
Tena sadly wanashambuliwa na wanawake wenzao zaidi. Yaani ni kama tunaimpose morality kwa wanawake while kwa wanaume twawaacha. Sipendi msemo wa adui wa mwanamke ni mwanamke kwani tunaaminishwa hivyo at the end of the day twauishi huo msemo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom