Unataka memorandum and articles of association?

Unataka memorandum and articles of association?

daydreamerTZ

Senior Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
148
Reaction score
240
Habari Wana JF, nimepata usumbufu sana kwa wakati nafungua kampuni brela, haswa kwenye mambo ya kuanda MEMARTS. MEMARTS yangu ilikataliwa Zaid ya mara tano kwa makosa mbalimbali lkn hatimaye nilifanikiwa. Katika process nimegundua watanzania wengi tunapenda malipo makubwa ambayo hayaendani na kazi tunayoifanya.

Nataka nisaidie vijana wezangu ambao Wana pata shida kwenye uandaaji wa hii document. Hivyo usisite kunitafuta nikusaidie maana bei ya sokoni ya kuandaa hii document ni kubwa mno kuliko kazi yenyewe halisi.

Na pia nitakusaidia kufungua kampuni yako kwa gharama utakayo afford wewe.

Karibuni tuendelezee sekta binafsi .

Whatsapp: 0629706263
Email; kitongatu@gmail.com
 
Back
Top Bottom