...Mtani nakuunga mkono kwenye hili, ila ungeweka "censored" hapa;
Wasomaji wa mstari kwa mstari hawatakuelewa bana, au unaonaje?
'wanafundishwa' ...."mwanaume akishaonja, humuoni tena...!"
Can you be my future wife?Sorry Sir,
I cannot be ur future wife!
Huwa inapendeza sana ikiwa mkaka atakuwa wazi hasa kuhusu nia yake kwa mdada. Siyo lazima useme kuwa unamchezea tu waweza tumia neno tofauti lenye maana sawa na hiyo. Wapo wadada wengi tu ambao wao huwa hawahitaji mtu wa future...Hivo ni vema kuwatafuta hao kuliko wampotezea mda mtu mwenye malengo yake ya kuwa nawe maishani.
Mummy hebu chukua uraia wa Libya halafu nikufate Benghazi!
Nakubaliana nawe kwa asilimia nyingi tu..
Ikiwa hata kuzoeana bado wakaka mwawezaje kumtaka kimwili mdada?
Kama kigezo ni kuzoeana ni vema basi mkazoeana kama kaka na dada kwanza kabla ya kuazisha hayo mahusiano.
Angalizo: Huu ni mtazamo wangu tu kuwa huenda hiyo ni gia yenu (wakaka) tu ya kupenda kumega mega ovyo....Mshindwe kabisa
Hivi mie nimewachezea watu?...aaakh i mean hivi mie nimechezewa eeeh!...aaakh haiwezekani itakuwa nimechezeana na watu ...da!
Heshimu Firstlady amesema ni kuchezeana unaona ilivyokuwa na mvuto sasa!
Tuchezeane basi spanish lady.He he he!
Sipendi na sipo tayari kuchezewa.
Ur my future! Hadi ukamilifu wa dahari
Mara nyingi wakaka wamekuwa wakihitaji wadada ambao wana tabia njema kwa malengo yasiyokuwa na future.
Aah wapi nimeshafanya risachi we ngoja jibu lake sio kama kelbu uliopata kwa Nyadhiwa.hahahahahah mbavu zangu! Kavu kavu hivyo lazima akuchomoleeeeeeeeeee
Uporoto taratibu bwana!Kelbu ya ukweli inatoka kwa mama mchungaji tu...huko kwingine ni ubabaishaji tu!Aah wapi nimeshafanya risachi we ngoja jibu lake sio kama kelbu uliopata kwa Nyadhiwa.
Nyadhiwa harembi kabisa! kanikata maini hahahahahaahahaha