Unataka kunichezea tu!

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Unapokuwa kijana unakutana na kijana mwenzio iwe safarini, sehemu za kazi ama mtaani. Uzalendo unakushinda na kuanza kurusha ndoana zako kwa mdada. Chemistry inaanza kuwapanda wote. Unaanza kujiweka karibu na binti mnaenda dinner na movie kadhaa. Kabla ya kulala mwapigiana simu ....etc etc missing you kwa sana. Hapo mkaka unatafuta kasi umwombe tunda. Siku ya siku unameza mfupa na kumwambia mdada inakuwaje sasa? Jibu bwana mimi nakupenda pia ila naogopa utanichezea tu na kuniumiza moyo wangu, niliwahi umizwa na mkaka mmoja nilimpenda kuliko wewe!!!!!!! Hapa hujiuliza kuchezewa kupi huko? Nadhani labda wadada mbadili kauli iwe tunachezeana its makes more sense kwangu.

Haya wadada mpo?
 
wadada tupo....tunasemaga hivyo kwa kuwa unakuta mtu umekuwa na uhusiano na mwanaume,unafikiri mna nia mamoja kumbe mwenzio kwake wewe ni part time au mlupo....kuna ambaye anamfikiria na pengine anaye wa future ambayo unafikiri wewe ndo unayo kwake.....mimi nafikiri naweza sema tulichezeana if tutakuwa tumeamua kabla ya uhusiano wetu kuwa we are just having fun au pass time......ila unaponidanganya then ukani let down bila sababu hapo nitasema nilichezewa......

Rev.....:rain:
 
wadada tupo....tunasemaga hivyo kwa kuwa unakuta mtu umekuwa na uhusiano na mwanaume,unafikiri mna nia mamoja kumbe mwenzio kwake wewe ni part time au mlupo....kuna ambaye anamfikiria na pengine anaye wa future ambayo unafikiri wewe ndo unayo kwake.....mimi nafikiri naweza sema tulichezeana if tutakuwa tumeamua kabla ya uhusiano wetu kuwa we are just having fun au pass time......ila unaponidanganya then ukani let down bila sababu hapo nitasema nilichezewa......

Rev.....:rain:

Mbona wadada nao hubwaga wakaka bila hata sababu ya msingi lakini sisi wanaume huwa tunavumilia na kuanza mbele bila kuweka la kucheweza. Sijawahi sikia mwanaume akidai kacheweza na mdada! Ina maana waume ndo wachezaji peke yao????
 
Mbona wadada nao hubwaga wakaka bila hata sababu ya msingi lakini sisi wanaume huwa tunavulia na kuanza mbele bila kuweka la kucheweza. Sijawahi sikia mwanaume akidai kacheweza na mdada! Ina maana waume ndo wachezaji peke yao????

Mchungaji!!!! Mi naona itakuwa tumechezeana kama tumekubaliana tunachezeana.
Lakini sio mimi nawaza Kaskazini na wewe Unawaza Mashariki.
Alichokisema Michelle hapo juu ndo nakimaanisha.

Kuhusu mdada kumbwaga mwanaume hata yeye amemchezea, kwa misingi hiyo hiyo.
Muda, akili.......................................
 
Mchungaji!!!! Mi naona itakuwa tumechezeana kama tumekubaliana tunachezeana.
Lakini sio mimi nawaza Kaskazini na wewe Unawaza Mashariki.
Alichokisema Michelle hapo juu ndo nakimaanisha.

Kuhusu mdada kumbwaga mwanaume hata yeye amemchezea, kwa misingi hiyo hiyo.
Muda, akili.......................................

In a real sense je naweza mwambia mdada mimi napenda kukuchezea tu? Nadhani mara nyingi hata kama jibu nalijua mrembo akiniuliza wewe hutonichezea tu? Jibu ninalo kabisa kuwa "Sintokuchezea kamwe" hiki wadada hupenda kusikia. Hata kama anajua hapa mmmhhhh
 
mimi nafikiri naweza sema tulichezeana if tutakuwa tumeamua kabla ya uhusiano wetu kuwa we are just having fun au pass time......ila unaponidanganya then ukani let down bila sababu hapo nitasema nilichezewa......

Rev.....:rain:

Anti samahani, hivi nyie akina dada mnaweza kukubali kutoa tunda kwa makubaliano ya kwamba tuchezeane halafu baadaye tusijuane? Manake hata mimi huwa natumiaga gia ya "'together in future'" ili nipate ninachokitaka kwa sababu nikiomba kuchezeana peke yake nahisi kama nitatoswa vile... Hebu nifungue macho basi.
 
Mbona wadada nao hubwaga wakaka bila hata sababu ya msingi lakini sisi wanaume huwa tunavulia na kuanza mbele bila kuweka la kucheweza. Sijawahi sikia mwanaume akidai kacheweza na mdada! Ina maana waume ndo wachezaji peke yao????

nimewahi sikia wanaume wakilalamika kuwa wametumiwa na wasichana...hawasemi wamechezewa but the meaning ndo ile ile kuwa amepotezewa muda au kudanganywa na msichana....it can be done by both sides!
 
Anti samahani, hivi nyie akina dada mnaweza kukubali kutoa tunda kwa makubaliano ya kwamba tuchezeane halafu baadaye tusijuane? Manake hata mimi huwa natumiaga gia ya "'together in future'" ili nipate ninachokitaka kwa sababu nikiomba kuchezeana peke yake nahisi kama nitatoswa vile... Hebu nifungue macho basi.

Wadada wanapenda sana hii kauli ""'together in future'" wakisikia hiyo! Kila kitu unapewa.
 
Anti samahani, hivi nyie akina dada mnaweza kukubali kutoa tunda kwa makubaliano ya kwamba tuchezeane halafu baadaye tusijuane? Manake hata mimi huwa natumiaga gia ya "'together in future'" ili nipate ninachokitaka kwa sababu nikiomba kuchezeana peke yake nahisi kama nitatoswa vile... Hebu nifungue macho basi.

inategemea na exposure ya mtu, kuna wanaume wanasema kabisa....i just wanna have some fun with you......hasemi kuchezea,thar would be insane! ofcoz wanaume wengi wa kitanzania ndo zao kutumia gear ya future.....ila pia nimeona wasichana wanaotaka just to have fun na wanaume hapa hapa Tanzania.....kitaeleweka tu....
 
nimewahi sikia wanaume wakilalamika kuwa wametumiwa na wasichana...hawasemi wamechezewa but the meaning ndo ile ile kuwa amepotezewa muda au kudanganywa na msichana....it can be done by both sides!

Hao wanaume wa hivyo ni wazembe! Umetumiwa kitu gani na wakati na wewe ulikuwa unatumia lol!
 
Anti samahani, hivi nyie akina dada mnaweza kukubali kutoa tunda kwa makubaliano ya kwamba tuchezeane halafu baadaye tusijuane? Manake hata mimi huwa natumiaga gia ya "'together in future'" ili nipate ninachokitaka kwa sababu nikiomba kuchezeana peke yake nahisi kama nitatoswa vile... Hebu nifungue macho basi.

Huwa inapendeza sana ikiwa mkaka atakuwa wazi hasa kuhusu nia yake kwa mdada. Siyo lazima useme kuwa unamchezea tu waweza tumia neno tofauti lenye maana sawa na hiyo. Wapo wadada wengi tu ambao wao huwa hawahitaji mtu wa future...Hivo ni vema kuwatafuta hao kuliko wampotezea mda mtu mwenye malengo yake ya kuwa nawe maishani.
 
inategemea na exposure ya mtu, kuna wanaume wanasema kabisa....i just wanna have some fun with you......hasemi kuchezea,thar would be insane! ofcoz wanaume wengi wa kitanzania ndo zao kutumia gear ya future.....ila pia nimeona wasichana wanaotaka just to have fun na wanaume hapa hapa Tanzania.....kitaeleweka tu....

Umwambie msichana wa kitanzania lets have funny and enjoy each other huyo huwezi mpata hata siku moja! Labda um-bake ......!
 
Huwa inapendeza sana ikiwa mkaka atakuwa wazi hasa kuhusu nia yake kwa mdada. Siyo lazima useme kuwa unamchezea tu waweza tumia neno tofauti lenye maana sawa na hiyo. Wapo wadada wengi tu ambao wao huwa hawahitaji mtu wa future...Hivo ni vema kuwatafuta hao kuliko wampotezea mda mtu mwenye malengo yake ya kuwa nawe maishani.

Ubarikiwe Nyadhiwa.....sina la kuongeza kwa hii thread!
 
inategemea na exposure ya mtu, kuna wanaume wanasema kabisa....i just wanna have some fun with you......hasemi kuchezea,thar would be insane! ofcoz wanaume wengi wa kitanzania ndo zao kutumia gear ya future.....ila pia nimeona wasichana wanaotaka just to have fun na wanaume hapa hapa Tanzania.....kitaeleweka tu....

Hapo penye red, mazingira ndiyo hutupelekea kuwa hivyo dada'ngu, labda muanze kubadilika na kuwa wazi...

Huwa inapendeza sana ikiwa mkaka atakuwa wazi hasa kuhusu nia yake kwa mdada. Siyo lazima useme kuwa unamchezea tu waweza tumia neno tofauti lenye maana sawa na hiyo. Wapo wadada wengi tu ambao wao huwa hawahitaji mtu wa future...Hivo ni vema kuwatafuta hao kuliko wampotezea mda mtu mwenye malengo yake ya kuwa nawe maishani.

Hapo penye red nitapafanyia kazi, ila na nyie punguzeni kuficha mambo Bana mrahisishe maisha, manake haya mnayasemaga kwa keyboard tu,,, tukikutana live i bet you will be after future too!!!
 
Hapo penye red, mazingira ndiyo hutupelekea kuwa hivyo dada'ngu, labda muanze kubadilika na kuwa wazi...

Hapo penye red nitapafanyia kazi, ila na nyie punguzeni kuficha mambo Bana mrahisishe maisha, manake haya mnayasemaga kwa keyboard tu,,, tukikutana live i bet you will be after future too!!!

Jamani umewapa za uso! Mdada hata kuzoeana bado anataka utangaze ndoa lol! Maisha menyewe haya.....mmmhhhh
 
Hapo penye red nitapafanyia kazi, ila na nyie punguzeni kuficha mambo Bana mrahisishe maisha, manake haya mnayasemaga kwa keyboard tu,,, tukikutana live i bet you will be after future too!!!

Nashukuru ikiwa utapafanyia kazi maana jambo hilo huwa linasumbua sana.

Ni kweli mimi niko after future....Sihitaji mtu wa kunipotezea muda wala kumpotezea muda ikiwa najua siko tayari kuwa naye maishani.

Inapendeza kumwambia mtu ukweli pasipo kificho...Kuyatenda yale tupendayo kutendewa na wengine.
 
Anti samahani, hivi nyie akina dada mnaweza kukubali kutoa tunda kwa makubaliano ya kwamba tuchezeane halafu baadaye tusijuane? Manake hata mimi huwa natumiaga gia ya "'together in future'" ili nipate ninachokitaka kwa sababu nikiomba kuchezeana peke yake nahisi kama nitatoswa vile... Hebu nifungue macho basi.

TANMO, inawezekana, ila kama pale tu ni dada amevutiwa na wewe in other words, if she is attracted to you physically ila haoni future na wewe. Wadada saa nyingine hufikiria "how is it like to be with that guy"? Hawa ni wachache sana, they have confidence in their sexuality and know what they want.
Ofcourse kuna wale wengine wanao kubali kucheza kwa malipo, kwao ni biashara and no feelings attached.
 
Nashukuru ikiwa utapafanyia kazi maana jambo hilo huwa linasumbua sana.

Ni kweli mimi niko after future....Sihitaji mtu wa kunipotezea muda wala kumpotezea muda ikiwa najua siko tayari kuwa naye maishani.

Inapendeza kumwambia mtu ukweli pasipo kificho...Kuyatenda yale tupendayo kutendewa na wengine.

Can you be my future wife?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom