Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,280
- 33,986
Kibaka akitaka kumwibia mwanamke, kwanza kabisa ataangalia kama ameongozana na mwanaume.
Muuza magari akitaka kumuuzia mwanamke gari bovu au kumpiga kwenye bei, ataangalia kwanza kama yupo na mwanaume.
Fundi wa kukarabati nyumba akitaka kumpiga mwanamke material za ujenzi kwanza ataangalia kama kuna mwanaume humo ndani ya nyumba.
Mwanaume mwenye nia ya kumfanyia mwanamke vitendo vya ubakaji atahakikisha kwanza huyo mwanamke hayupo na mwanaume katika mazingira hayo.
Mashoga wa hovyo kabla ya kumpotosha mwanamke mwenzao huwa wanaangalia kwanza kama yupo kwenye mahusiano ya serious na mwanaume wake.
Mbinu rahisi ya kumtapeli, kumpotosha, kumzulumu, kumwibia, kumbaka, kumdhuru au kumfanyia mwanamke kitendo chochote kibaya, ni kumwondoa mwanaume kwenye maisha yake au kumshawishi kwamba mwanaume ndie adui yake.
"ukikubali kuolewa mapema mwanaume atakunyanyasa"
"zaa tu ulee mtoto wako wanaume hawaeleweki"
"bwana ako amekukataza kutoka usiku kwa sababu hataki ule maisha"
"mwanaume wako sio baba ako, una haki ya kujifanyia maamuzi yako mwenyewe"
Shauri kama hizo hapo juu ndio mwanzo wa usingle mother, mabinti wadogo kuleweshwa pombe na kuishia kuingiliwa kinyume wakiwa hawajitambui, kujazana kwenye maombi ya upepo wa kisulisuli kutafuta mume wakishafubaa n.k, kwa sababu hizo shauri zinamwondoa mwanamke kwenye ile devine order ya kuhitaji ulinzi wa mwanaume.
To take advantage of a woman you must make sure she has no man's protection or there's is no man she listens to. Sell her the idea of being free to do what ever she likes. Once you achieve this you have unlimited number of women to exploit, scam, use, damage, harm, traumatise or destroy while convincing them that you are giving them right and opportunity to exercise their freedom.
Thieves understand this. Businesses understand this. Toxic friends understand this. Corrupt men understand this. Feminists understand this.
NB: Hakuna popote nilipokuambia uende kufanyia kazi nilichokiandika hapa.
Don’t be a simp.
Muuza magari akitaka kumuuzia mwanamke gari bovu au kumpiga kwenye bei, ataangalia kwanza kama yupo na mwanaume.
Fundi wa kukarabati nyumba akitaka kumpiga mwanamke material za ujenzi kwanza ataangalia kama kuna mwanaume humo ndani ya nyumba.
Mwanaume mwenye nia ya kumfanyia mwanamke vitendo vya ubakaji atahakikisha kwanza huyo mwanamke hayupo na mwanaume katika mazingira hayo.
Mashoga wa hovyo kabla ya kumpotosha mwanamke mwenzao huwa wanaangalia kwanza kama yupo kwenye mahusiano ya serious na mwanaume wake.
Mbinu rahisi ya kumtapeli, kumpotosha, kumzulumu, kumwibia, kumbaka, kumdhuru au kumfanyia mwanamke kitendo chochote kibaya, ni kumwondoa mwanaume kwenye maisha yake au kumshawishi kwamba mwanaume ndie adui yake.
"ukikubali kuolewa mapema mwanaume atakunyanyasa"
"zaa tu ulee mtoto wako wanaume hawaeleweki"
"bwana ako amekukataza kutoka usiku kwa sababu hataki ule maisha"
"mwanaume wako sio baba ako, una haki ya kujifanyia maamuzi yako mwenyewe"
Shauri kama hizo hapo juu ndio mwanzo wa usingle mother, mabinti wadogo kuleweshwa pombe na kuishia kuingiliwa kinyume wakiwa hawajitambui, kujazana kwenye maombi ya upepo wa kisulisuli kutafuta mume wakishafubaa n.k, kwa sababu hizo shauri zinamwondoa mwanamke kwenye ile devine order ya kuhitaji ulinzi wa mwanaume.
To take advantage of a woman you must make sure she has no man's protection or there's is no man she listens to. Sell her the idea of being free to do what ever she likes. Once you achieve this you have unlimited number of women to exploit, scam, use, damage, harm, traumatise or destroy while convincing them that you are giving them right and opportunity to exercise their freedom.
Thieves understand this. Businesses understand this. Toxic friends understand this. Corrupt men understand this. Feminists understand this.
NB: Hakuna popote nilipokuambia uende kufanyia kazi nilichokiandika hapa.
Don’t be a simp.
