Unataka kujifunza programming?

 
kati ya comment chache za MK zenye mashiko.. kumbe sometimes u are a gentleman.. keep it up.
 

Mkuu sio kwamba nimewasahau, nina project imenikeep busy sana nakimbizana na deadline, nikiwa poa naweza nikaanza.
 
Mkuu we anzia mwanzo mpaka mwisho... mi nataka kujua kila kitu
 
Mkuu sio kwamba nimewasahau, nina project imenikeep busy sana nakimbizana na deadline, nikiwa poa naweza nikaanza.
Ahsante kwa kurudi mkuu, tunaendelea kuvuta subira. Ahsante tena!...
 
Tupo wengi ambao hatujia kabisa
 
M niko tayari hasa katika upanda wa desgn ya website app na program mbalimbali za simu au pc
 
language gani nzuri kushinda zote me ndo naanza na java nimeipenda sabab ukikosea inakuonyesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…