Unatafuta nafasi ya masomo Australia?

Unatafuta nafasi ya masomo Australia?

Hongera kwa kazi kubwa.. Mimi nataka kusoma masters je utanisaidiaje?

Asante Tatiana,

Unataka kusoma masters katika nini? Na plan yako ni kujilipia ada ama kuomba ufadhili?

Kampuni yetu inashughulikia kuwaombea udahili (admission) wanafunzi wanaohitaji kusoma (diploma, bachelor, masters, PhD) na wengi wa wateja wetu ni wale wenye mpango wa kujilipia karo. Kampuni yetu haishughuliki na kuombea ufadhili wanafunzi lakini inatoa ushauri bure kwa wanafunzi wanaohitaji taarifa (information) kuhusu ufadhili. Kama kuna mwanafunzi anataka kuomba udahili kupitia kwetu na kisha aombe ufadhili yeye mwenyewe anakaribishwa kuwasiliana nasi.

Kama unataka kuomba ufadhili tafadhali pitia hizi links zifuatazo na kama unaswali usisite kuuliza kupitia uzi huu
1. Australian Postgraduate scholarships Search Engine
2. International Postgraduate Research Scholarships (IPRS)
3. Australia Awards for Tanzanian Students

Kila la heri

IBSCS
 
Mimi nimehitimu shahada yangu tangu 2012 lakini kila nikiingia kuomba chuo abroad nakosa tu. Je nimelack nini?
 
Huyu jamaa kuna mtu ambae ameshaweza kuwasiliana nae? Am very serious looking for studies agent in Australia. Hajibu pm na hawana namba za simu, any help pls! Kenya duuh processing fee tu $700
 
Huyu jamaa kuna mtu ambae ameshaweza kuwasiliana nae? Am very serious looking for studies agent in Australia. Hajibu pm na hawana namba za simu, any help pls! Kenya duuh processing fee tu $700

Kutuma application letter package tu unaambiwa 700Ksh... Aaah wamenichosha sana... But Hawa watu pia address yao ni Kenya... But I pray wawe tofauti
 
Asante Tatiana,

Unataka kusoma masters katika nini? Na plan yako ni kujilipia ada ama kuomba ufadhili?

Kampuni yetu inashughulikia kuwaombea udahili (admission) wanafunzi wanaohitaji kusoma (diploma, bachelor, masters, PhD) na wengi wa wateja wetu ni wale wenye mpango wa kujilipia karo. Kampuni yetu haishughuliki na kuombea ufadhili wanafunzi lakini inatoa ushauri bure kwa wanafunzi wanaohitaji taarifa (information) kuhusu ufadhili. Kama kuna mwanafunzi anataka kuomba udahili kupitia kwetu na kisha aombe ufadhili yeye mwenyewe anakaribishwa kuwasiliana nasi.

Kama unataka kuomba ufadhili tafadhali pitia hizi links zifuatazo na kama unaswali usisite kuuliza kupitia uzi huu
1. Australian Postgraduate scholarships Search Engine
2. International Postgraduate Research Scholarships (IPRS)
3. Australia Awards for Tanzanian Students

Kila la heri

IBSCS

Asante sana kiongozi... Nimeanza fanyia kazi.. Nikifanikiwa will let you know
 
Duh huyu jamaa hata hakuweka namba na hata website yao haina namba za simu which I'd prefer
 
Mtoa post umepotea mazima?

Mkuu, link ya website ipo kwenye post hapo juu, ukitumia mawasiliano ya kwenye website ni rahisi kujibiwa mapema kwani tupo wafanyakazi wengi -hapa jamiiforums ni mpaka mimi niingie na wakati mwingine majukumu hayaruhusu kuingia huku. Tuandikie kupitia admin@ibscservices.com
 
Ni kunyooka Nairobi tu, wabongo kama kawiada yetu kutokua serious

Weka akiba ya maneno mkuu, mbona watu wengi wametuandikia baada ya kusoma hapa na tumewajibu? Hivi kweli unashindwa ku-click link ya website hapo juu na kutuandikia kupitia email zilizopo kwenye contact us? Kutokana na tofauti ya masaa mengi kati ya Australia na nchi nyingine sisi tunapendelea mawasiliano ya barua pepe, hata hivyo namba ya simu ipo kwenye website pia.
 
Mkuu kwa fani ya madini,mafuta,gesi degrees zake kwa huko ni dollar ngapi(USD)?
 
Weka akiba ya maneno mkuu, mbona watu wengi wametuandikia baada ya kusoma hapa na tumewajibu? Hivi kweli unashindwa ku-click link ya website hapo juu na kutuandikia kupitia email zilizopo kwenye contact us? Kutokana na tofauti ya masaa mengi kati ya Australia na nchi nyingine sisi tunapendelea mawasiliano ya barua pepe, hata hivyo namba ya simu ipo kwenye website pia.

Mkuu sina access ya email mara nyingi, naomba niwhatsapp +61424679013 nimepm hujajibu. Na contacts zenyu zipo za Adelaide na sio Tz, mteje yuko Tz angehitaji kuongea nanyi direct
 
Back
Top Bottom